MECHI ZA SIMBA, YANGA, AZAM KUPANGIWA TAREHE UPYA

MICHEZO mitatu ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 itapangiwa tarehe mpya tofauti na ile ya awali ambayo imepangwa. Kwa mujibu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TPLB) imeeleza kuwa imeamua kufanya hivyo kuzipa muda timu shiriki kimataifa kufanya maandalizi. Mechi hizo ilikuwa ni pamoja na ule mchezo wa Singida Big Stars dhidi ya…

Read More

WAZAWA KWENYE VITA YAO LEO, UWANJA WA MAJALIWA

MATHEO Anthony, mzawa anayekipiga ndani ya KMC akiwa na tuzo yake ya mchezaji bora wa mwezi ndani ya KMC kwa Septemba anatarajiwa kukutana na staa namba moja wa Namungo Relliats Lusajo. Lusajo yeye ana tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Agosti ndani ya ligi na ni namba moja kwa utupiaji akiwa na mabao matano msimu…

Read More

WAJELAJELA WASHINDA MBELE YA AZAM FC

AZAM FC imeyeyusha pointi tatu kwa mara ya kwanza msimu wa 2022/23 kwa kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons. Mchezo huo wa ligi ulichezwa Uwanja wa Sokoine ambapo dakika 45 za mwanzo ngoma ilikuwa ngumu kwa timu zote mbili. Bao la ushindi lilifungwa na mshambuliaji Jeremia Juma ambaye alitumia pasi ya Ezikiel…

Read More

IBRA CLASS ASHINDA KWA K.O MBELE YA MMEXICO

BONDIA Mtanzania Ibra class amefanikiwa kumchapa bondia Alan Pina anayetoka Mexico kwenye Pambano la raundi 12. Pambano hilo lilikuwa na vuta nikuvute nyingi lakini halikuwa la ubingwa lililofanyika Mlimani City jijini Dar es salaam. Tangu Mwanzo wa pambano hilo Pina alionyesha upinzani mkali kwa Ibrahimu Class mpaka ilipofika raundi ya 9 na kumfanya Mtanzania huyo ashinde kwa…

Read More

VIDEO: YANGA WAMVAA PRIVA KUVAA UZI WA SIMBA

SHABIKI wa Yanga ameabinisha kuwa hakutarajia kuhusu ujio wa Ally Kamwe ndani ya Yanga na amefurahi kuskia kwamba amepewa nafasi hiyo, kuhusu Priva akiwa na jezi za Simba wamebainisha kuwa kijana huyo ni msomi na mwanasheria ana jezi nyingi amazo amevaa ikiwa ni pamoja na Coastal Union haina maana kwamba yeye ni Simba lialia

Read More

MERIDIANBET WAONGOZA ZOEZI LA USAFI UPANGA

Kampuni ya meridianbet imeongoza zoezi la usafi katika maeneo ya bustani inayomilikiwa na serikali Upanga, Mtaa wa Charambe. Serikali ya mtaa wa Charambe pia ilishiriki zoezi hili.   Kampuni hii imeshirikisha wadau mbalimbali wanaozunguka eneo hilo, wakiwemo wafanyakazi na wafanyabiashara wa maeneo hayo. Serikali ya mtaa, ikiwakilishwa na mwenyekiti na mtendaji nao walishiriki kuunga mkono…

Read More

MTANZANIA IBRA CLASS, MMEXICO PINA KUMALIZA UBISHI LEO

BONDIA Mtanzania Ibrahim Class anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa mpinzani wake kutoka Mexico, Gustavo Pina katika pambano la kimataifa la uzito wa feather litakalofanyika leo kwenye ukumbi wa Mlimani City. Akizungumza mara baada ya kupima uzito jana, Pina alisema kuwa kamwe hawezi kupoteza mapambano mawili mfululizo na amekuja ili kurekebisha rekodi yake baada ya…

Read More

MAYELE, FEISAL WAFANYA YAO YANGA IKISHINDA

FISTON Mayele mzee wa kutetema ni miongoni mwa nyota ambao walicheka na nyavu kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Mbuni FC ya Arusha uliochezwa Uwanja wa Avic Town. Mayele ni mshamuliaji namba moja ndani ya Yanga kutokana na kasi yake kuendelea pale ambapo aliishia msimu uliopita. Kwenye ligi Mayele katupia mabao matatu baada ya kucheza…

Read More

KIUNGO CHAMA KUIWAHI DODOMA JUMAPILI

CLATOUS Chama nyota wa kikosi cha Simba raia wa Zambia anatarajiwa kuwa miongoni mwa watakaokuwa kwenye mchezo dhidi ya Dodoma Jiji unaotarajiwa kuchezwa Jumapili. Chama ambaye yupo kwenye fainali ya kuwania tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi ndani ya Simba chaguo la mashabiki hakuwa sehemu ya kikosi cha Simba kilichoweka kambi Zanzibar. Sababu kubwa ya…

Read More

DE BRUYNE NI NOMA LIGI KUU ENGLAND

STAA wa Manchester City, Kevin de Bryune anaweza kuingia kwenye vitabu vya rekodi ya Premier. Sababu kubwa itakayomfanya nyota huyo kuingia kwenye rekodi hiyo ni kutokana na kuanza kwa kasi msimu huu ndani ya kikosi hicho cha Pep Guardiola ambaye ni Kocha Mkuu. Nyota huyo amekuwa hapo kwa muda mrefu na akiwa ni chachu ya…

Read More