
GUARDIOLA AWANYOOSHA ARSENAL
KOCHA Mkuu wa Manchester City amekiongoza kikosi hicho kusepa na ushindi mbele ya Arsenal. Kwenye mchezo wa Ligi Kuu England licha ya kwamba walikuwa ugenini waliwashushia kichapo wenyeji wao na kusepa na pointi tatu mazima Februari 15,2023 na kuongoza ligi. Baada ya zile dakika 90 za jasho ubao wa Uwanja wa Emirates pale kwa washika…