MASTAA SIMBA KWENYE MAJUKUMU MENGINE

HENOCK Inonga beki wa Simba ni miongoni mwa nyota ambao wameitwa kwenye timu ya Taifa ya DR Congo. Nyota hao wanakwenda kwenye majukumu mengine kupeperusha bender za timu zao za taifa. Inonga mwenye  tuzo ya beki bora msimu wa 2021/22 anaitetea tena kwa msimu wa 2022/23 baada ya kuwa kwenye orodha ya mastaa wanawania tuzo…

Read More

KIMATAIFA: USM ALGER 0-1 YANGA

UBAO wa Uwanja wa Julai 5 nchini Algeria unasoma USM Alger 0-1 Yanga ikiwa ni dakika 45 za kwanza. Mchezo kwa sasa ni mapumziko ambapo Yanga imepata bao la mapema katika fainali ya pili itakayoamua mshindi wa Kombe la Shirikisho Afrika. Bao la kuongoza kwa Yanga limefungwa na Djuma Shaban dakika ya 6 kwa pigo…

Read More

MANCHESTER UNITED KWENYE HESABU ZA MASON

INAELEZWA kuwa Manchester United wamefanya mazungumzo na Chelsea kuhusu kuipata saini ya kiungo Mason Mount, Sky Sports News imeambiwa. Hata hivyo hakuna ofa rasmi ambayo imetolewa kwa kiungo huyo wa Chelsea. Ikiwa makubaliano yanaweza kutekelezwa, inafikiriwa kuwa masharti ya kibinafsi hayatarajiwi kuwa tatizo. Mkataba wa Mount Chelsea unamalizika msimu ujao. Manchester United wamefanya maswali kadhaa…

Read More

NAMUNGO FC WAPIGA HESABU KUMALIZANA NA DODOMA JIJI

KOCHA Mkuu wa Namungo FC Dennis Kitambi amesema kuwa wanaimani kubwa ya kupata matokeo mazuri kwenye mchezo ujao wa ligi dhidi ya Dodoma Jiji Timu hiyo ya Namungo mchezo wake uliopita ilishinda mbele ya Azam FC kwa mabao 2-1 mchezo uliochezwa Uwanja wa AzamComplex. Inatarajiwa kucheza na Dodoma Jiji, Juni 6 Uwanja wa Majaliwa ikiwa…

Read More

SIMBA WAJA NA GIA NYINGINE

ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa anaamini timu hiyo itakuwa kwenye mwendo mzuri msimu ujao ikiwa itapata wachezaji wenye ubora kila idara. Kocha huyo alikiongoza kikosi cha Simba kupata ushindi kwenye mchezo dhidi ya Yanga Uwanja wa Mkapa. Henock Inonga na Kibu Dennis hawa ni nyota waliofunga mabao kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja…

Read More

ZIMEMALIZA TOP 4 ULAYA MARA NYINGI ZAIDI

PREMIER League msimu wa 2022/23 ulimalizika juzi Jumapili na kushuhudia Manchester City wakibeba taji hilo kwa mara ya tatu mfululizo huku Arsenal akimaliza ndani ya nne bora na sapraiz pia kutoka kwa Newcastle. Baada ya misimu 31, Manchester United inazidi kutawala ndani ya top four mbele ya vigogo wengine kutoka Premier. Klabu nyingi kwa sasa…

Read More

WANANCHI KIMATAIFA UGENINI WANA ZALI

WAKATI leo Juni 3 Yanga ikitarajiwa kutupa kete ya pili kwenye mchezo wa fainali dhidi ya USM Alger ya Algeria rekodi zinaonyesha kuwa wamekuwa wakifanya balaa ugenini. Katika mechi 11 ambazo Yanga wamecheza baada ya kutinga hatua ya makundi ni mechi tano ilicheza ugenini huku ikiambulia kichapo kwenye mechi moja pekee. Rekodi zinaonyesha kuwa Yanga…

Read More

YANGA KAMILI KUWAVAA WAARABU KIMATAIFA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa watafanya kazi kubwa kwenye mchezo dhidi ya USM Alger kwenye fainali ya pili ugenini. Waarabu hao wa Algeria wanafaida ya mabao mawili waliyopata ugenini mbele ya Yanga huku mtupiaji wa bao la Yanga akiwa ni Fiston Mayele. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa, ubao…

Read More

KIVUMBI FAINALI FA MANCHESTER UNITED V CITY

MENEJA Erik ten Hag amesema Manchester United hawana uwezekano wa kuwa na Antony kwenye fainali ya Kombe la FA Jumamosi dhidi ya Man City. Itakuwa kivumbi watakapokutana kwenye mchezo huo ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki duniani. Ten Hag alikuwa na matumaini zaidi kuhusu nafasi ya mshambuliaji wa Brazil baada ya kupata jeraha kwenye…

Read More

SIMBA WAANZA KAZI KUKAMILISHA MECHI MBILI

MECHI mbili zimebaki kwa Simba kukamilisha ndani ya msimu wa 2022/23 ikiwa ni dakika 180. Simba ipo nafasi ya pili kwenye msimamo na vinara wa ligi ni Yanga ambao wametwaa ubingwa wa ligi msimu huu. Ikumbukwe kwamba Yanga inaiwakilisha Tanzania kwenye anga za kimataifa ikiwa ipo hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika na itapambana…

Read More

MUDA WA YANGA KUREJESHA TABASAMU KWA WANANCHI

WAKATI mwingine wa kuonyesha uimara kwenye mashindano makubwa kwa wawakilishi wa Tanzania Yanga. Juni Mosi msafara wa Yanga uliwasili salama Algeria kwa kutumia ndege ya Air Tanzania ahadi iliyoahidiwa na Rais Samia Suluhu Hassan ikiwa imeshatimizwa. Mchezo wa mwisho kwenye fainali dhidi ya USM Alger una picha ya tabasamu na maumivu kwa Watanzania kiujumla. Kinachowezekana…

Read More