
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili
USM Alger ya Algeria inayonolewa na Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha imetwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika kwa faida ya bao la ugenini dhidi ya Yanga. Ushindi wa jumla ya mabao 2-2 haujawapa fursa Yanga wawakilishi kutoka Tanzania kutwaa taji hilo. Katika mchezo wa leo Yanga imeshuhudia ubao wa Uwanja wa Juali 5 ukisoma USM…
HENOCK Inonga beki wa Simba ni miongoni mwa nyota ambao wameitwa kwenye timu ya Taifa ya DR Congo. Nyota hao wanakwenda kwenye majukumu mengine kupeperusha bender za timu zao za taifa. Inonga mwenye tuzo ya beki bora msimu wa 2021/22 anaitetea tena kwa msimu wa 2022/23 baada ya kuwa kwenye orodha ya mastaa wanawania tuzo…
UBAO wa Uwanja wa Julai 5 nchini Algeria unasoma USM Alger 0-1 Yanga ikiwa ni dakika 45 za kwanza. Mchezo kwa sasa ni mapumziko ambapo Yanga imepata bao la mapema katika fainali ya pili itakayoamua mshindi wa Kombe la Shirikisho Afrika. Bao la kuongoza kwa Yanga limefungwa na Djuma Shaban dakika ya 6 kwa pigo…
KIKOSI cha Yanga dhidi ya USM Alger kipo namna hii:- Diara Djigui Djuma Shaban Joyce Lomalisa Bakari Mwamnyeto Bacca Job Dickson Tuisila Kisinda Sure Boy Fiston Mayele Mudhathir Yahya Kennedy Musonda
INAELEZWA kuwa Manchester United wamefanya mazungumzo na Chelsea kuhusu kuipata saini ya kiungo Mason Mount, Sky Sports News imeambiwa. Hata hivyo hakuna ofa rasmi ambayo imetolewa kwa kiungo huyo wa Chelsea. Ikiwa makubaliano yanaweza kutekelezwa, inafikiriwa kuwa masharti ya kibinafsi hayatarajiwi kuwa tatizo. Mkataba wa Mount Chelsea unamalizika msimu ujao. Manchester United wamefanya maswali kadhaa…
KOCHA Mkuu wa Namungo FC Dennis Kitambi amesema kuwa wanaimani kubwa ya kupata matokeo mazuri kwenye mchezo ujao wa ligi dhidi ya Dodoma Jiji Timu hiyo ya Namungo mchezo wake uliopita ilishinda mbele ya Azam FC kwa mabao 2-1 mchezo uliochezwa Uwanja wa AzamComplex. Inatarajiwa kucheza na Dodoma Jiji, Juni 6 Uwanja wa Majaliwa ikiwa…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa utatumia mbinu kama walizotumia kuwatuliza Waarabu wa Tunisia Club Africain kwenye mchezo wao dhidi ya USM Alger Waarabu wa Algeria. Leo Juni 3, Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ina kibarua cha kusaka ushindi baada ya kushuhudia Uwanja wa Mkapa ukisoma Yanga 1-2 USM Alger bao la Yanga…
ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa anaamini timu hiyo itakuwa kwenye mwendo mzuri msimu ujao ikiwa itapata wachezaji wenye ubora kila idara. Kocha huyo alikiongoza kikosi cha Simba kupata ushindi kwenye mchezo dhidi ya Yanga Uwanja wa Mkapa. Henock Inonga na Kibu Dennis hawa ni nyota waliofunga mabao kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi
PREMIER League msimu wa 2022/23 ulimalizika juzi Jumapili na kushuhudia Manchester City wakibeba taji hilo kwa mara ya tatu mfululizo huku Arsenal akimaliza ndani ya nne bora na sapraiz pia kutoka kwa Newcastle. Baada ya misimu 31, Manchester United inazidi kutawala ndani ya top four mbele ya vigogo wengine kutoka Premier. Klabu nyingi kwa sasa…
WAKATI leo Juni 3 Yanga ikitarajiwa kutupa kete ya pili kwenye mchezo wa fainali dhidi ya USM Alger ya Algeria rekodi zinaonyesha kuwa wamekuwa wakifanya balaa ugenini. Katika mechi 11 ambazo Yanga wamecheza baada ya kutinga hatua ya makundi ni mechi tano ilicheza ugenini huku ikiambulia kichapo kwenye mechi moja pekee. Rekodi zinaonyesha kuwa Yanga…
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa watafanya kazi kubwa kwenye mchezo dhidi ya USM Alger kwenye fainali ya pili ugenini. Waarabu hao wa Algeria wanafaida ya mabao mawili waliyopata ugenini mbele ya Yanga huku mtupiaji wa bao la Yanga akiwa ni Fiston Mayele. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa, ubao…
MENEJA Erik ten Hag amesema Manchester United hawana uwezekano wa kuwa na Antony kwenye fainali ya Kombe la FA Jumamosi dhidi ya Man City. Itakuwa kivumbi watakapokutana kwenye mchezo huo ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki duniani. Ten Hag alikuwa na matumaini zaidi kuhusu nafasi ya mshambuliaji wa Brazil baada ya kupata jeraha kwenye…
MCHAMBUZI Ricardo Momo ameweka wazi kuhusu alivyopata nafasi ya kucheza Yanga alipokuwa akicheza mpira
MECHI mbili zimebaki kwa Simba kukamilisha ndani ya msimu wa 2022/23 ikiwa ni dakika 180. Simba ipo nafasi ya pili kwenye msimamo na vinara wa ligi ni Yanga ambao wametwaa ubingwa wa ligi msimu huu. Ikumbukwe kwamba Yanga inaiwakilisha Tanzania kwenye anga za kimataifa ikiwa ipo hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika na itapambana…
WAKATI mwingine wa kuonyesha uimara kwenye mashindano makubwa kwa wawakilishi wa Tanzania Yanga. Juni Mosi msafara wa Yanga uliwasili salama Algeria kwa kutumia ndege ya Air Tanzania ahadi iliyoahidiwa na Rais Samia Suluhu Hassan ikiwa imeshatimizwa. Mchezo wa mwisho kwenye fainali dhidi ya USM Alger una picha ya tabasamu na maumivu kwa Watanzania kiujumla. Kinachowezekana…