
ANASEPA NDANI YA SIMBA MWAMBA HUYU HAPA
INAELEZWA kuwa kuna nyota ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda anasepa katika kikosi hicho kwa ajili ya kupata changamoto mpya.
INAELEZWA kuwa kuna nyota ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda anasepa katika kikosi hicho kwa ajili ya kupata changamoto mpya.
MABINGWA wa Ligi Kuu Bara, Yanga msimu wa 2023/24 wamebainisha kuwa moja ya malengo yaliyopo ni kupata ushindi kwenye mchezo wao dhidi ya Tabora United. Leo Mei 25 Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi inakibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Tabora United. Mchezo huo ni maalumu kwa Yanga kukabidhiwa taji la ligi ambalo…
RAIS wa shirikisho la soka Afrika (CAF), Patrice Motsepe yupo Tanzania akiwa Visiwani Zanzibar kwenye fainali za African Schools Football ambapo akiwa huko amezungumza na Waandishi wa Habari masuala mengi kuhusu michezo. Kwenye mazungumzo yake rais huyo amegusia na bao ambalo alifunga kiungo mshambuliaji wa Yanga, Aziz KI kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika…
FUNGA kazi inaendelea ndani ya Ligi Kuu Bara ambapo Mei 25 kunatarajiwa kuwa na mechi kali za maamuzi kwa kila timu kupambania pointi tatu muhimu. Hii hapa ratiba ipo namna hii:- Coastal Union v JKT Tanzania, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Simba dhidi ya KMV, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Ihefu v Dodoma Jiji, Uwanja…
Nauleta kwenu kwenu mchezo mwingine wa kasino ya mtandaoni wenye utamu kama pipi. Lengo lako ni kupangilia pipi hizo kwenye mchanganyiko wa kushinda, kisha unaweza kufurahia ladha yake. Ushindi wa juu kabisa kwenye mchezo huu wa sloti ni mara 5,000 ya dau lako. JISAJILI HAPA kufurahia maajabu ya Meridianbet Kasino. Spin Spin Sugar ni…
ANASEPA mwamba Aziz KI Yanga kwenda kupata changamoto mpya? Simba waibuka na kuzungumzuia ishu yake, Yanga wabainisha kila kitu
JUMA Mgunda Kocha Mkuu wa Simba kwenye mechi ambazo amekaa katika benchi akishirikiana na Seleman Matola ndani ya msako wa dakika 90 ameonyesha kasi huko unyamani. Ipo wazi kwamba Simba inapambana kumaliza nafasi ya pili na mbabe wake mkubwa ni Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Yusuph Dabo zote zina pointi 63 na mechi mbili…
FAILI la usajili Simba lavujishwa, Fei, Aziz KI wafungukia tuzo ya ufungaji bora ndani ya gazeti la Championi Ijumaa.
Wachezaji na viongozi wa timu ya Yanga wakiwa ndani ya ukumbi wa Bunge wakishuhudia wabunge wakijadili makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2024/2025, jijini Dodoma leo Mei 23, 2024.
Mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania nzima Meridianbet wanaendelea kukupatia kile ambacho wewe unakitaka kwenye mechi za ligi mbalimbali zinazoendelea Duniani kote. Unakosaje sasa kukwapua mpunga wa maana?. Beti sasa na ushinde na Meridianbet. Ligi kuu ya Misri (EGYPT PREMIER LEAGUE) kutakuwa na mtanange mzito leo hiihsaa 1:00 usiku El Zamalek atamualika nyumbani kwake Future FC…
WAKIWA na mchezo dhidi ya KMC unaotarajiwa kuchezwa Arusha Mei 25 2024 benchi la ufundi la timu hiyo limebainisha kuwa hesabu ni kupata matokeo kwenye mechi ambazo wanacheza. Juma Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba ushindi wake mkubwa akiwa na timu hiyo ilikuwa mchezo dhidi ya Geita Gold walipopata ushindi wa mabao 4-1 baada ya dakika…
YANGA vinara wa Ligi Kuu Bara wana balaa zito kutokana na kasi yao kuwa kwenye ubora kwenye mechi ambazo wanacheza msimu wa 2023/24. Ipo wazi kwamba Yanga ni mabingwa msimu wa 2023/24 walitwaa taji hilo baada ya kufikisha pointi 71 mchezo wao wa 27 dhidi ya Mtibwa Sugar uliochezwa Uwanja wa Manungu. Kwenye mchezo wa…
KUNA orodha ndefu ya mastaa wa Simba ambao watasepa katika timu mara baada ya mzunguko wa pili kugota mwisho kutokana na mikataba yao kugota mwisho wengine ni ofa mpya ambazo wanazo mezani jambo litakalofungua hesabu za wao kuondoka jumlajumla. Inatajwa kuwa mwamba Kramo jina lake limeshaondolewa mazima kwenye orodha ya wachezaji wa Simba kutokana na…
Hii ni kwa wale wanao sumbuliwa na nyota zao au wanaotaka kufahamu kuhusu elimu ya nyota, tafadhari soma kwa makini ujifunze kuhusu nyota na faida zake. Pia ndani ya Meridianbet kuna mchezo wa kasino ya mtandaoni unaitwa Zodiac unakurahisishia safari yako ya kutengeneza pesa kwa kuzingatia nyota yako. Fahamu Kuhusu Elimu ya Nyota (Zodiac…
MASTA Aziz KI kiungo mshambuliaji wa Yanga amepindua Meza ya vita ya ufungaji bora baada ya kufunga mabao mawili dhidi ya Dodoma Jiji na kufikisha mabao 17 akiwa namba moja chati ya ufungaji. KI amefunga mabao mawili wakati ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma ukisoma Dodoma Jiji 0-4 Yanga ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa…
RASMI Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kwamba fainali ya CRDB Federation Cup inatarajiwa kuchezwa Zanzibar. Ni Uwanja wa New Amaan Complex unatarajiwa kutumika kwenye fainali ya mchezo huo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote mbili. Yanga ambao ni mabingwa watetezi watakabiriana na Azam FC ambapo kwenye fainali iliyopita walicheza na…
Shindano la Expanse linazidi kutoa matajiri kibao kila siku, Meridianbet wameongeza mzuka kwa wapenzi wa kasino ya mtandaoni ambapo mgao wa Tsh Milion 2,500,000/= unakusubiri wewe mpenzi wa kasino. Jisajili hapa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha ushindi. Katika promosheni hii unapokuwa unacheza mchezo wako pendwa wowote ule uliotengenezwa na Expanse, dau la chini kwa kila…