
MATAJIRI WA DAR KAMILI KUIKABILI YANGA
AZAM FC wapo tayari Zanzibar kwa maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa fainali dhidi ya Yanga. Ni CRDB Cup inatarajiwa kuchezwa Juni 2 2024 Uwanja wa New Amaan Complex kwa kila timu kupambania taji hilo. Miongoni mwa wachezaji waliopo na kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu Yusuph Dabo ni pamoja na Feisal Salum, Jhonier Blanco…