MWISHO wa ubishi imefahamika nani atakuwa nani kwenye kila idara ambapo Yangamabingwa wa ligi na wanaye mfungaji bora ambaye ni Aziz KI akiwa katupia mabao 21 msimu wa 2023/24.
Simba ngoma imegota mwisho ikiwa nafasi ya tatu huku Geita Gold na Mtibwa Sugar hizi zimeshuka daraja mazima.
Matokeo ya mechi zote ambazo zilikuwa live Azam TV yapo namna hii:-
Soccer Football - Premier League - Tottenham Hotspur v Aston Villa - Tottenham Hotspur Stadium, London, Britain - November 26, 2023 Aston Villa's Ollie Watkins in action with Tottenham Hotspur's Emerson Royal REUTERS/Dylan Martinez