Nani Ataanguka, Nani Atatamba? Japan, Spain, Tunisia Na Saudi Arabia Vitani
Patashika nguo kuchanika leo kwenye mechi zinazotarajiwa kupigwa hapo baadae ambapo timu zote zinahitaji kupata ushindi ili kujiweka vyema kufuzu kwenye nafasi inayofuata. Je karata yako unaiweka kwa nani hapa? Tunisia dhidi ya Japan, hii ni moja ya mechi ambayo inatarajiwa kuwa ya kipekee sana kutokana na umuhimu wa pointi 3 kwa timu zote mbili…