Sakata la mashabiki kufanya vurugu, Yanga SC yatuma ujumbe kwa timu zote
Ali Kamwe, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Yanga SC amesema kuwa ni muhimu kwa mashabiki wa timu zote kuacha kufanya vurugu uwanjani kwa kuwa adhabu ambazo zinatolewa ni kubwa na hasara kwa timu. Machi 19,2026 tarifa kutoka Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB) ilieleza Yanga SC imetozwa faini ya milioni 5 kwa kosa…