Kikosi cha Azam FC vs Mashujaa FC

Aishi Manula mlinda mlango wa Azam FC ameanza kikosi cha kwanza ambacho kitawakabili Mashujaa FC leo, Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma. Wachezaji wengine ni Himid Mao, Sadio Kanoute, Twalibu Nuru, Lusajo Mwaikenda, Pascal Msindo, Zidane Sereri, Feisal Salum, Ashrafu Kibeku, Lameck Lawi, Idd Nondo. Wachezaji wa akiba ni Abah Abel, James Akaminko, Jean Ngita, Yeison…

Read More

Kikosi cha Pamba Jiji FC vs Simba SC hiki hapa

Kikosi cha Pamba Jiji FC kitakachoanza dhidi ya Simba SC Uwanja wa Kirumba kipo tayari ambapo mchezo unatarajiwa kuanza saa 10:00 jioni. Langoni ni Yona Amosi. Wachezaji wengine ni Abdulmajid Mangalo, Ibrahim Abrahim, Mathew Tegisi, Peter Lwasa, Keneth Kunambi, Sharpahn Sawa, Zabona Mayombya, James Mwashinga, Hussen Kibailo na Michael Samamba. Wachezaji wa akiba ni Brian,…

Read More

Mtibwa Sugar vs Yanga SC ni Jumamosi

Mtibwa Sugar vs Yanga SC ni Jumamosi mchezo wa NBC Premier League Uwanja wa Jamhuri, Dodoma kwa wababe hawa kusaka pointi tatu. Tayari Yanga SC imewasili Dodoma kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo huo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ndani ya dakika 90. Machi 18,2026 Yanga SC ilikuwa Arusha kwenye mchezo wa ligi vs TRA…

Read More

FT: TRA United 0-0 Yanga SC

MCHEZO wa NBC Premier League umekamilika kwa wababe wawili kutoshana nguvu baada ya dakika 90. Ubao wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid umesoma TRA United 0-0 Yaga SC wakigawana pointi mojamoja. Kiungo mkabaji wa TRA United, Mzamiru Yassin alionyeshwa kadi mbili za njano hali iliyopelekea kuonyeshwa kadi nyekudu dakika ya 85. Matokeo hayo yanafanya Yanga…

Read More

HT: TRA United 0-0 Yanga SC

HT: TRA United 0-0 Yanga SC Uwanja wa Sheikh Amri Abeid dakika 45 zimekamilika ubao ukisoma TRA United 0-0 Yanga SC TRA United Yanga SC 2 Mashuti 3 0 Lenga lango 0 34% Umiliki 66% 2 Mashuti yasiyolenga lango 3 0 Kadi nyekundu 0 0 Kadi ya njano 0 0 Kona 1 0 Magoli 0…

Read More

Beki wa kazi Simba SC aanza matizi

RASMI beki wa kazi ndani ya kikosi cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Steve Barker ameanza mazoezi maalumu ili kurejea katika ubora. Ni Abdulrazack Hamza ambaye alipata maumivu kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga SC uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Anatarajiwa kuwa nje kwa msimu mzima akipambania hali yake ikiwa atatengamaa mapema…

Read More

Rais wa Senegal Ailipua CAF “Hatutashiriki Tena AFCON!”

Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, ametoa tamko kwa Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) kufuatia uamuzi wa kushtua wa kuipokonya nchi yake taji la AFCON 2025 na kuwapa Morocco. Katika kauli iliyosambaa katika mitandao ya kijamii, Rais Faye amenukuliwa akisema: “Kama CAF haitabadilika na kuendelea kunyonya na kuingiza rushwa katika soka la Afrika, Senegal…

Read More

Nani Kusonga Hatua ya Robo Fainali UEFA Leo? Liverpool, Bayern, Barca na Atletico

Pilikapilika za Ligi ya Mabingwa bado zinaendelea huku mechi za mkondo wa pili zikipamba moto. Kila timu inahitaji kushinda ili kwenda hatua inayofauata. Je nani unampa beti yako Liverpool ataumana dhidi ya Galatasaray Instanbul baada ya mechi ya kwanza kupigika kule Uturuki. Slot anahitaji ushindi kwenye mtanange huu wa leo ili ajiweke vyema kwenye mbio…

Read More

Senegal Wakataa Kurudisha Kombe la AFCON, Wailipua CAF

Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) limekosoa uamuzi wa CAF kuwatangaza kupoteza mechi ya fainali ya AFCON 2025 , na hivyo ushindi wa mezani wa mabao 3–0 kutolewa kwa Morocco . FSF limeahidi kupeleka rufaa kwa Mahakama ya Michezo (CAS) huko Lausanne. Katibu Mkuu wa FSF, Abdoulaye Sow, amesema:“Kombe halitaondoka nchini Senegal ina haki, na…

Read More