
KAZADI AFUNGUKA BAADA YA KUWAFUNGASHIA VIRAGO AZAM
NYOTA wa Singida Big Stars, Francy Kazadi amesema kuwa ni furaha kwake kutimiza majukumu akiwa na timu yake hiyo mpya. Nyota huyo ameonyesha makeke yake ndani ya Kombe la Mapinduzi ambapo kwa sasa anaongoza idadi ya watupiaji akiwa ametupia mabao matano kibindoni. Katika mchezo wa hatua a nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi iliyochezwa Januari…