SINGIDA BIG STARS WANAIFIKIRIA FAINALI

SINGIDA Big Stars hesabu zao kwa sasa ni fainali ya Kombe la Mapinduzi, Januari 13,2023 dhidi ya Mlandege. Timu hiyo inayonlewa na Kocha Mkuu, Hans Pluijm imetinga hatua hiyo kwa kuichapa mabao 4-1 Azam FC. Mtupiaji wa mabao yote ya Singida Big Stars ni Francy Kazadi ambaye kibindoni anafikisha mabao matano na lile la Azam…

Read More

SIMBA YAINGIA ANGA ZA TP MAZEMBE

KATIKA kuimarisha safu ya ushambuliaji ndani ya kikosi cha Simba Zemanga Soze anatajwa kuwa katika hesabu za timu hiyo. Ngoma nzito inatajwa kuwa kwenye dau ambalo linatakiwa ili kupata saini yake. TP Mazemba anakokipiga Kwa sasa wanatajwa kuhitaji dau refu kumuuza mchezaji huyo. Kikosi cha Simba kwa sasa kipo Dubai ambapo kimeweka kambi wa ajili…

Read More

AZAM FC YAWEKA REKODI YAKE MAPINDUZI CUP 2023

AZAM FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala imeweka rekodi yake ndani ya Kombe la Mapinduzi 2023 kuwa timu iliyookota mabao mengi nyavuni kwenye mchezo mmoja kwa timu zilizo tatu bora bara. Ilikuwa dhidi ya Singida Big Stars kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali ambapo walipoteza kwa kufungwa mabao 4-1 na kuondolewa katika Kombe…

Read More

YANGA YAMTEMBELEA MAMA KARUME

UONGOZI wa Yanga chini ya rais wa klabu hiyo, Injinia Hersi Said, benchi la ufundi, wachezaji pamoja na wajumbe wa Bodi ya Wadhamini, mapema jana Jumamosi walimtembelea mama Fatuma Karume ambaye ni mke wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Hayati Sheikh Abeid Amani Karume na kumpa zawadi mbalimbali ikiwemo jezi za timu hiyo. Hafla hiyo…

Read More

SIMBA NDANI YA DUBAI KAMILI KWA KAMBI

KIKOSI cha Simba kimewasili salama Dubai ambapo kitakuwa huko kwa ajili ya kambi ya muda wa siku saba. Ni Jnuari 7,2023 msafara wa kikosi hicho ulikwea pipa na kuibukia Dubai. Miongoni mwa msafara huo kulikuwa na benchi la ufundi pamoja na viongozi bila kuwasahau wachezaji ambao wanakkazi ya kusaka ubingwa wa ligi, Kombe la Shirikisho…

Read More

SIMBA YAKWEA PIPA, BANDA,NTIBANZOKIZA NDANI

NYOTA wa Simba Peter Banda tayari amerejea kwenye ubora wake akiwa ni miongoni mwa mastaa waliokwea pipa kuelekea Dubai. Kikosi hicho kimepata mualiko maalumu kutoka kwa Rais wa Heshima Mohamed Dewji ambapo kitaweka kambi kwa muda wa siku 7. Wengine ambao wapo kwenye kikosi hicho ni pamoja na Said Ntibanzokiza, Sadio Kanoute huku Moses Phiri…

Read More

SIMBA KUKWEA PIPA KUIBUKIA DUBAI

BAADA ya kuvuliwa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi na kurejea Dar kikosi cha Simba kinatarajia kukwea pipa leo Januari 7,2022 kuelekea Dubai. Kikosi hicho kwenye mechi mbili za hatua ya makundi ambapo kilikuwa kinasaka pointi sita kiliambulia pointi tatu. Mchezo wa kwanza ubao wa Uwanja wa Amaan ulisoma Simba 0-1 Mlandege ambao wametinga hatua ya…

Read More

CHUMA HIKI HAPA KINAFUATA KUTAMBULISHWA YANGA

INAELEZWA kuwa nyota anayefuatwa kutambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga ni beki wa kazi mzawa Dickosn Job. Nyota huyo mkataba wake unakaribia kufika ukingoni ambapo mwisho wa msimu huu utakuwa umegota mwisho. Habari zinaeleza kuwa tayari viongozi wa Yanga pamoja na wale ambao wanamsimamia Job wamefanya mazungumzo na kufika kwenye maelewano mazuri. Job ni chaguo…

Read More

YANGA KUIKABILI SINGIDA BIG STARS

KIKOSI cha Yanga kesho kina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa pili wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Singida Big Stars. Katika mchezo wa kwanza wa mwaka 2023 Yanga ilisepa na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya KMKM. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar ambapo dakika 90 zilikuwa ngumu kwa timu zote mpaka…

Read More

YANGA KAMILI KUIKABILI KMKM

MCHEZO wa kwanza ndani ya 2023 Yanga itashuka Uwanja wa Amaan leo dhidi ya KMKM saa 2:15 usiku. Ni Katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi 2023 huku kocha msaidizi wa Yanga, Cedrick Kaze akibainisha kwamba wapo tayari kwa ajili ya ushindani.  Kaze amesema kuwa wanatambua ushindani ambao upo kwenye mashindano hayo kutokana na timu kujipanga….

Read More

MAPINDUZI YAFANYIKE MAPINDUZI YA KWELI

WAKATI mwingine kwa sasa kwenye Kombe la Mapinduzi 2023 ambapo kila timu shiriki inafanya kazi kubwa kwenye kusaka ushindi. Hakuna ambaye hapendi kupata matokeo mazuri kwenye mchezo ambao atacheza hivyo kwa sasa ni muhimu kupata ushindi. Ukweli ni kwamba wachezaji wamepata nafasi kwenye mashindano haya ambayo ni ya heshima na kila mmoja ana kazi ya…

Read More