KAZI NZITO LEO HAPA LIVERPOOL PALE ARSENAL
Mtoto hatumwi dukani ndio unavyoweza kusema kuelekea mtanange mkali kati ya vilabu viwili venye ubora mkubwa kwasasa klabu ya Liverpool ambao watakua nyumbani kuikaribisha klabu ya Arsenal. Mchezo huu mkali wa kufungia mwaka utapigwa pale katika dimba la Anfield ambapo utaweza kutoa fursa pia kwa wateja wa Meridianbet kuchota maokoto, Kwani mchezo huu kati ya…