Sports
HUYU HAPA MVP LIGI KUU BARA 2021/22
KATIKA usiku wa tuzo za Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2021/22 uliweza kukamilika kwa kila mmoja kuweza kujua kile ambacho amekivuna. Kwa upande wa tuzo ya mchezaji bora ambayo ilikuwa inasubiriwa kwa umakini ilikwenda kwa kiungo wa Yanga, Yannick Bangala. Tuzo hiyo ilitolewa na mgeni rasmi ambaye alikuwa ni Waziri wa Sanaa, Utamaduni na…
MCHEZAJI BORA LIGI KUU BARA,KOMBE LA SHIRIKISHO
USIKU wa tuzo usiku wa kuamkia Julai 8/2022 umeweza kukamilika kutoka Ukumbi a Hotel ya Rotana ambapo kila aliyeweza kuchaguliwa kasepa na tuzo yake. Miongoni mwa tuzo ambazo zilikuwa zinafuatiliwa kwa ukaribu ni pamoja na ile ya mchezaji bora pamoja na bao bora ambalo limeweza kutambuliwa ndani ya ligi msimu huu. Tuzo hizo zimekwenda kwa…
AZAM FC YAACHANA NA BEKI WAO WA KAZI
LEO Julai 7,2022 ikiwa ni siku ya sabasaba,matajiri wa Dar wameweka wazi kuwa wanaachana na mchezaji wao Yvan Mbala ambaye ni beki. Anakuwa ni nyota wa tatu kupewa mkono wa asante baada ya Mathias Kigonya ambaye na kipa pamoja na Frank Domayo ambao wote hawatakuwa kwenye kikosi cha Azam FC msimu wa 2022/23. Kupitia ukurasa…
MWAMBA WA LUSAKA AANZA KUPIGA MATIZI
MWAMBA wa Lusaka kiungo mshamuliaji wa Simba,Clatous Chama ameanza kufanya mazoezi kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa 2022/23. Chama amerejea kwa mara nyingine ndani ya Simba baada ya kuwa ndani ya RS Berkane lakini ameshindwa kuonyesha makeke yake kutokana na kile kilichoelezwa kuwa alipata maumivu kwenye mchezo dhidi ya Yanga. Taarifa iliyotolewa na…
VIDEO:MPANGO WA UJENZI WA UWANJA YANGA UMECHORWA HIVI
INJINIA Hersi Said mgombea nafasi ya Urasi ndani ya Yanga amebainisha namna mpango wa ujenzi wa uwanja ulivyo pamoja na mgombea wa nafasi ya makamu wa Rais,Arafat Haji naye akibainisha uwezo wake pamoja na muda ambao Yanga iliwahi kuvaa jezi aina 9
SAUTI:KIKOSI KIPYA CHA YANGA CHEKI KILIVYO
BAADA ya kukamilisha usajili wa Bernard Morrison huku ikitajwa kuwa tayari kiungo Aziz KI ni mali ya timu hiyo kikosi cha Yanga kinatarajiwa kuwa na nyota wakali.
HIZI HAPA REKODI ZA MAKIPA WANAOWANIA TUZO BONGO
LEO ni leo itakuwa kwa kuwa ni siku ya ugawaji wa tuzo kwa wanamichezo baada ya kukamilisha msimu wa 2021/22 ambapo mabingwa ni Yanga. Julai 7 zinatarajiwa kufanyika tuzo hizo kwenye Ukumbi wa Rotana Hotel, huku moja ya kipengele ambacho kinatazwa kwa ukaribu ni upande wa mlinda mlango. Hapa tunakuletea rekodi za mastaa hao watatu waliopenya…
MSELELEKO WALIOUPATA AZAM FC KUMNASA MR HAT TRICK HUU HAPA
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa mseleleko ambao waliopata kuinasa saini ya kiungo kutoka Coastal Union Abdul Hamis Suleiman,’Sopu’ umetokana na kuwa na marafiki ndani ya Azam FC ambao ni wachezaji pia. Sopu alikuwa kwenye hesabu za Coastal Union wenyewe ambao walikuwa kwenye mazungumzo ya kumuongezea mkataba,Simba na Yanga nao wanatajwa kuwa walikuwa wanahitaji…
MORRISON KUMUONDOA MMOJA KIKOSINI YANGA
IMEELEZWA kuwa usajili wa Bernard Morrison umefawafanya Yanga, kuingia makubaliano ya kuachana rasmi na winga wa kulia raia wa DR Congo, Jesus Moloko. Moloko aliungana na Yanga Agosti 13, 2021, akitokea katika Klabu ya As Vita ya kwao DR Congo na kusaini mkataba wa miaka miwili. Chanzo cha uhakika kutoka Yanga kimeeleza kuwa, pamoja na ubora…
SUMA MWAITENDA:NICHAGUENI MIMI NITAFANYA KWA VITENDO
MGOMBEA wa nafasi ya Makamu wa Rais ndani ya Yanga,Suma Mwaitenda ameweka wazi kuwa akipata nafasi ya kuingoza timu hiyo atashirikiana na rais ambaye atachaguliwa. Julai 9, Yanga inatarajia kufanya uchaguzi wa viongozi ambapo ni kwa upande wa Rais mgombea akiwa ni Injinia Hersi Said na kwa upande wa makamu wa Rais wapo wawili ikiwa…
INJINIA HERSI AANIKA USAJILI WOTE YANGA,NDANI YA SPOTI XTRA ALHAMISI
INJINIA aanika usajili wote Yanga ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
NATHANIEL CHILAMO ATAMBULISHWA AZAM FC
NI beki wa kulia, Nathaniel Chilambo ambaye alikuwa anakipiga ndani ya kikosi cha Ruvu Shooting amepata changamoto mpya. Hivyo bei huyo msimu ujao wa 2022/23 atakuwa na uzi wa Azam FCpale viunga vya Azam Complex. Chilambo amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuweza kuitumikia timu hiyo ambayo inauhakika wa kushiriki Kombe la Shirikisho Afrika baada ya…
SAUTI;KIUNGO MWINGINE ANAYETAJWA KUMALIZANA NA YANGA
IMEELEZWA kuwa baada ya Yanga kumalizana na kiungo Bernard Morrison sasa inakwenda kumtambulisha kiungo mwingine hivi karibuni
NAMNA SIMBA ITAKAVYOMREJESHA LUIS
KLABU ya Simba, ipo kwenye wakati mzuri wa kumrudisha kikosini hapo kiungo mshambuliaji raia wa Msumbiji, Luís Jose Miquissone kutoka Al Ahly ya Misri. Hiyo ni baada ya Luis kuwa na wakati mgumu ndani ya Al Ahly tangu alipojiunga na timu hiyo Agosti 26, 2021 akisaini mkataba wa miaka minne akitokea Simba. Baada ya Al…
HUU HAPA WASIFU WA MGOMBEA NAFASI YA MAKAMU WA RAIS JANGWANI
JULAI 9,2022 wanachama wa Yanga kupitia wawakilishi wao ambao ni viongozi kutoka kwenye matawi wanatarajia kufanya uchaguzi kwa ajili ya kumpata Rais,Makamu wa Rais pamoja na Wajumbe watano. Huu hapa ni wasifu wa mgombea nafasi ya Makamu wa Rais ambapo ni Suma Mwaitenda WASIFU: (Taaluma na Kazi) -Mkadiriaji Majenzi (Quantity Surveyor) -Msimamizi wa Miradi (Project…
VIDEO:HAJI MANARA ASIMULIA ALICHOONGEA NA RAIS WA TFF
HAJI Manara,Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuwa anafarijika akikaa kwenye TV ila akiwa uwanjani anakuwa na presha kubwa azungumzia suala la mechi dhidi ya Coastal Union,ameweka wazi kwamba hakutamka lugha ya matusi mbele ya Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF),Wallance Karia