YANGA HAWATAKI KABISA DENI WAMALIZANA NA MORRISON

UONGOZI wa Yanga umesema kuwa tayari umemlipa kiungo wao zamani Mghana, Bernard Morrison faini ya Sh12Mil kutoka Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo ‘CAS’ huku ukiwataka mashabiki wa timu hiyo kupotezea majibu ya hukumu hiyo. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu CAS itangaze hukumu ya Morisson na Yanga ambayo ilishindwa huku ikitakiwa kumlipa kitita cha Swis 5,000 (Sh12,396,787). Katika hukumu hiyo iliyokuwa na kurasa 29 imeeleza kuwa ushahidi uliotolewa na…

Read More

DUH! RONALDO AAMBIWA NI MZEE SANA

MASHABIKI wa Manchester United wameanza kuwa na hofu kubwa siku chache kabla kocha mpya hajaanza kufundisha timu hiyo ambayo jana ililazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. United inatarajiwa kufundishwa na kocha Ralf Rangnick ambaye anatarajiwa kukaa kwenye timu hiyo hadi mwisho wa msimu wa 2021/22. Kocha…

Read More

DAKIKA 45 SIMBA WATAWALA KWA MKAPA NA KUTUPIA MBILI

UWANJA wa Mkapa leo Novemba 28 katika dakika 45 za kwanza Simba wanaongoza kwa mabao 2-0 dhidi ya Red Arrows ya Zambia. Umakini hafifu wa Simba unawafanya waende chumba cha kubadilishia nguo wakiongoza kwa mabao mawili jambo ambalo linawapa ugumu kuweza kulinda ushindi huo ambao una ushindani mkubwa. Mabao ya Simba yamefungwa na Bernard Morrison…

Read More

KIDUNDA AFUNGUKIA KUHUSU UCHAWI KWENYE NGUMI

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini kutoka Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ‘JWTZ’, Sajenti Seleman Kidunda amefichua kuwa kama kuna bondia anaamini uchawi unasaidia kwenye kupigana basi atamruhusu aende akaloge halafu akakutane na mziki wake. Kidunda hivi karibuni amepandishwa cheo kutoka Koplo hadi Sajenti kwa sasa anajiandaa na pambano lake la ubingwa wa dunia ‘WBF’ dhidi ya Tshimanga Katompa kutoka DR Congo katika Pambano la Usiku wa Mabingwa litakalopigwa Desemba…

Read More

YANGA YATUMA UJUMBE HUU MBEYA KWANZA

UONGOZI wa Yanga umesema kuwa baada ya kutoa sare katika mchezo uliopita dhidi ya Namungo hawatahitaji matokeo kama hayo katika mchezo unaofuata dhidi ya Mbeya Kwanza zaidi ya ushindi tu. Yanga katika mchezo uliopita walitoa sare dhidi ya Namungo kwa bao 1-1, Novemba 30 wanatarajiwa kucheza dhidi ya Mbeya Kwanza mkoani Mbeya. Ofisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli amesema kuwa matokeo ambayo waliyapata kwenye mchezo…

Read More

KIBU ANGETULIA ANGEKUWA NA MABAO 9

KAMA ingekuwa ni utulivu wa mshambuliaji wa Simba Kibu Dennis akiwa ndani ya 18 basi kwa sasa angekuwa yupo kwenye orodha ya wakali wa kucheka na nyavu kutona na nafasi ambazo amekuwa akizipata na kushindwa kuzitumia. Rekodi zinaonyesha kuwa ni jumla ya nafasi tisa za wazi aliweza kutengeneza huku katika nafasi hizo akifunga bao moja…

Read More

KAZI CHAFU KWA MAKIPA ZINAFANYWA NA MAKAKA

MOHAMED Makaka kipa namba moja wa Ruvu Shooting anaingia kwenye orodha ya makipa wa kazi chafu kutokana na uwezo wake wa kuokoa mashuti yasiweze kuingia kwenye lango lake. Mastaa wa Simba wakiongozwa na Meddie Kagere bado watakuwa wanajua balaa la mikono yake licha ya Simba kushinda kwa mabao 3-1 bado Makaka alikuwa mhimihili kwa timu…

Read More

GOMES IMANI YAKE NI KWA SIMBA KUSHINDA

DIDIER Gomes, aliwahi kuwa kocha mkuu wa Simba ameweka wazi kuwa kwa namna kikosi hicho kilivyo kinaweza kupata ushindi mbele ya Red Arrows katika mchezo wa Kombe la Shirikisho. Leo Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco itakuwa na kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo wa mtoano ambao utashuhudiwa na mashabiki 35,000. Gomes amesema kuwa…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA RED ARROWS

KAZI itakuwa moja kwa Kocha Mkuu, Pablo Franco kuwaongoza vijana wake kusaka ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao ni wa mtoano dhidi ya Red Arrows. Ni leo Novemba 28, Uwanja wa Mkapa mchezo huo unatarajiwa kuchezwa na mashabiki 35,000 wameruhusiwa kuweza kushuhudia mchezo huo. Pablo anatarajia kuwa kwenye benchi la ufundi na kwa…

Read More