KULE QATAR KUNA LAKUJIFUNZA KWETU PIA

UNAONA namna ushindani ndani ya Kombe la Dunia na kila timu inafanya kweli kupata matokeo baada ya dakika 90 kukamilika? Hakika kuna jambo ambalo lipo kwenye mashindano haya makubwa na kila mmoja anafanya kazi yake kutimiza majukumu yae. Umependa namna Korea Kusini inavyocheza kukamilisha dakika 90 kwenye mchezo wao mmoja wakiwa hawana mambo mengi ndani…

Read More

NEYMAR AREJEA, BRAZIL WAPETA

NEYMAR Jr amerejea kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Brazil na zali la ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Korea Kusini jambo ambalo limewaondolea hofu mashabiki wa timu hiyo ya taifa ambapo walikuwa wanadhani nyota huyo hatakuwa kwenye mechi zilizobaki baada ya kuumia. Ushindi huo unawafanya Brazil kutinga hatua ya Robo Fainali Kombe la…

Read More

SAKA KUWAKABILI SENEGAL

NYOTA wa timu ya taifa ya England, Bukayo Saka anatarajiwa kuanza kikosi cha kwanza kwenye mchezo wa leo dhidi ya timu ya taifa ya Senegal. Huu ni mcheza kwanza kwa timu hizi mbili kukutana kwenye Kombe la Dunia na rekodi zinaonyesha kuwa hawajawahi kumenyana hata kwenye mchezo wa kirafiki. Ikumbukwe kwamba nyota huyo ambaye anakipiga…

Read More

PELE AWATOA HOFU KUHUSU AFYA YAKE

LEGEND kwenye ulimwengu wa soka ambaye anatajwa kuwa mchezaji bora wa muda woteraia wa Brazil Pele amewaomba mashabiki na wale wanaomfuatilia wasiwe na mashaka kuhusu afya yake. Nyota huyo kupitia mitandao ya kijamii ameandika ujumbe ambao unaeleza kwamba anaendelea vizuri na matibabu anaamini atarejea kwenye ubora wake. Pele alipelekwa hospitali ya Sao Paulo tangu Jumanne…

Read More

ARGENTINA YA LIONEL MESSI HIYO ROBO FAINALI

TIMU ya taifa ya Argentin inatinga hatua ya robo fainali Kombe la Dunia Qatar kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya timu ya taifa ya Austaralia. Kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora uliochezwa Uwanja wa Ahmad bin Ali mashabiki 45,032 walishuhudia burudani hiyo. Ni mabao ya Lionel Messi ambaye alikuwa nyota kwenye mchezo huo…

Read More

MOROCCO WAPETA, UBELGIJI MAJANGA

MWAMBA Hakim Ziyech nyota wa timu ya taifa ya Morocco alichaguliwa kuwa nyota wa mchezo wakati timu hiyo ikiibamiza mabao 2-1 timu ya taifa ya Canada. Katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Al Thumama mbele ya mashabiki 43,102 Canada walifungashiwa virago mazima wakigotea nafasi ya nne. Bao ambalo walilipata ilikuwa ni kupitia kwa nyota Nayef…

Read More

TIMU ZILIZOTOA WACHEZAJI WENGI KOMBE LA DUNIA

KUTOKANA na Kombe la Dunia la FIFA la 2022 linalofanyika Qatar kuanza karibia majira ya baridi, msimu huu umekuwa wa kitofauti ambapo ligi mbalimbali duniani zimesimama kupisha michuano hii mikubwa ya kimataifa. Miaka ya nyuma, Kombe la Dunia limekuwa likichezwa punde tu ligi nyingi duniani zinapomalizika. Msimu huu hali imekuwa tofauti, ligi mbalimbali zilichezwa na…

Read More

GHANA WAUPIGA MWINGI WAWAPA TABU WAKOREA

GHANA imeibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Korea Kusini kwenye mchezo wa Kombe la Dunia ambao unatajwa kuwa mmoja ya mchezo bora kutokea mwaka huu 2022 Qatar. Nyota wa Ghana mwenye miaka 22 na siku 118 , Mohammed Kudus anakuwa staa wa pili kutoka Afrika mwenye umri mdogo kufunga mabao mawili kwenye Kombe…

Read More

MOROCCO YAUSHANGAZA ULIMWENGU

ULIMWENGU wa mpira umeshuhudia maajabu leo baada ya timu ya taifa ya Morocco kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya timu ya taifa ya Ubegiji. Ngoma ilikuwa nzito kuamini kwamba Morocco ingeibuka na ushindi kwenye mchezo huo ambao ulikuwa na ushindani mkubwa lakini maajabu ya mpira yamekamilika. Ni mabao ya Abdelhamid Sabri dakika ya…

Read More