MAN U YAICHAPA TOTTENHAM

 MANCHESTER United wanatamba na ushindi wa mabao 2-0 waliopata dhidi ya Tottenham na kusepa na pointi tatu muhimu. Mchezo huo mkali ulichezwa Uwanja wa Old Trafford, mabao ya Fred dakika 47 na Bruno Fernandes dakika ya 69. Ni jumla ya mashuti 28 Man U walipiga huku Tottenham wakipiga mashuti 9. Kati ya hayo United ni…

Read More

JOE GOMEZ KUITWA TIMU YA TAIFA

JOE Gomez huenda akaitwa timu ya taifa ya England kwa ajili ya Kombe la Dunia mwezi ujao. Beki huyo wa Liverpool alikuwa kwenye ubora wakati timu hiyo ikiichapa Man City bao 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Kwa mujibu wa Daily Mail inaaminika kwamba ataitwa katika kikosi cha wachezaji 26 na kocha Gareth Southgate…

Read More

BENZEMA ATWAA TUZO KUBWA KWA MARA YA KWANZA

NYOTA wa kimataifa Karim Benzema ameshinda tuzo ya Ballon d’Or kwa upande wa wanaume kwa mara ya kwanza baada ya msimu mzuri akiwa na timu ya Real Madrid. Timu hiyo imeweza kunyakua taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kushinda mbele ya Liverpool na ilitwaa taji la Ligi Kuu ya Hispania maarufu kama La Liga. Benzema,…

Read More

YANGA NDANI YA DAR, MIPANGO YAO HII HAPA

KIKOSI cha Yanga kimewasili salama Dar leo Oktoba 17.2022 kikitokea Sudan ambapo kilikuwa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Al Hilal. Mchezo huo ulichezwa jana Oktoba 16,2022 na Yanga ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 na kufanya ikwame kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Kwa matokeo hayo Yanga itashiriki Kombe la Shirikisho…

Read More

WAWAKILISHI WA KIMATAIFA YANGA KUREJEA DAR

BAADA ya kupoteza mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Al Hilal, kikosi cha Yanga leo kimeanza safari ya kurejea Tanzania. Msafara huo ambao uliongozana na viongozi utapitia Addis Ababa Ethiopia. Bado Yanga inabaki kwenye anga za kimataifa kwa kuwa imeangukia kwenye Kombe la Shirikisho Afrka. Inafanya zibaki timu…

Read More

YANGA YAPOTEZA DHIDI AL HILAL KIMATAIFA

KIKOSI cha Yanga kimekwama kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika na sasa nguvu zao ni kwenye Kombe la Shirikisho. Kwenye mchezo wa leo dhidi ya Al Hilal walikubali kupoteza kw bao 1-0 Yanga. Ni bao la dakika ya 3 lilitosha kuwapa ushindi Al Hilal wakiwa nyumbani na kutinga hatua ya makundi. Mohamed Abdrahaman…

Read More

AL HILAL 1-0 YANGA

MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa Afrika ni mapumziko. Al Hilal wanaongoza bao 1-0 Yanga ikiwa ni mchezo wa marudiano baada ya ule wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa kuwa Yanga 1-1 Al Hilal. Mtupiaji niMohamed Yusuph dakika ya 3 wakiwa kwenye uwanja wao wa nyumbani. Bado wawakilishi wa Tanzania Yanga wana dakika 45 za kujiuliza…

Read More

NABI AJA KIVINGINE KUIKABILI AL HILAL

KATIKA kuhakikisha anapata matokeo mazuri ugenini dhidi ya Al Hilal, Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi, amepanga kufanya mabadiliko ya baadhi ya wachezaji kwenye kikosi cha kwanza kitakachocheza mchezo huo. Timu hizo zinatarajiwa kuvaana leo Jumapili kwenye Uwanja wa Al Hilal uliopo katika Mji wa Omdurman huko nchini Sudan katika mchezo wa marudiano. Katika…

Read More

MAYELE APEWA KAZI YA KUFANYA KIMATAIFA DK 90

FISTON Mayele mshambuliaji namba moja ndani ya kikosi cha Yanga anaingia kwenye dakika 90 za moto kushirikiana na mastaa wengine kupata matokeo ugenini kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Oktoba 8, ubao uliposoma Yanga 1-1 Al Hilal ni Mayele alifunga kwa Yanga na kumfanya…

Read More

USHINDI WA MABAO 7-1 WAIPA JEURI LIVERPOOL

BAADA ya kichapo cha mabao 7-1 walichokitoa Liverpool kwa Rangers katika Ligi ya Mabingwa Ulaya juzi kimemfanya Jurgen Klopp aamini kwamba watakuwa wanajiamini kuelekea mchezo wao dhidi ya Man City. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Jumapili unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki wa mpira kutokana na ushindani wa timu hizo mbili. Ni mabao matatu ambayo yalifungwa…

Read More