
WAJAPAN WATUSUA KOMBE LA DUNIA BAO LAO SASA GUMZO
KUTOKANA na timu ya Japan kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya timu ya taifa ya Hispania, mchambuzi wa masuala ya michezo ameomba Shirikisho la Soka Duniani, FIFA kufanya uchunguzi kuhusu saka la mpira wa pasi ya mwisho ulioleta bao la ushindi. Kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Khalifa wakati ubao ukisoma Japan 2-1 Hispania…