Othmen Najjar Ajiunga na Singida Black Stars Akiwa na Mafanikio Kubwa Afrika
Singida Black Stars imethibitisha kuajiri Othmen Najjar kama Meneja Mkuu wa Timu, akiwa na rekodi yenye mvuto mkubwa ya mafanikio klabuni. Najjar amefanikisha mambo makuu katika klabu za bara la Afrika, ikiwemo: Bingwa mara 2 wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) Bingwa mara 5 wa Ligi Kuu ya Tunisia Bingwa mara 2 wa…