Simba Yamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya
Klabu ya Simba SC imethibitisha rasmi kumteua Steve Barker kuwa kocha mkuu mpya wa kikosi hicho, akichukua nafasi ya Meneja Dimitar Pantev ambaye ameondolewa katika majukumu yake. Barker ni raia wa Afrika Kusini mwenye uzoefu mkubwa wa soka la Afrika, na jina lake halikuwa geni kwa mashabiki wa Simba SC. Kocha huyo aliwahi kukutana na…