Miguel Gamondi Atangaza Kikosi cha Awali cha Taifa Stars kwa AFCON 2025

Kocha wa Taifa Stars, Miguel Gamondi, ametangaza leo Desemba 3, 2025, kikosi cha awali cha wachezaji 53 kitakachoshiriki maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON). Kikosi hiki, kinachojumuisha wachezaji wanaoshughulika kwenye ligi za ndani na nje ya Tanzania, kitaratibiwa kuondoka nchini Disemba 8, 2025, kuelekea Nchi ya Misri, kwaajili ya kambi ya maandalizi kabla…

Read More

Arsenal Wakiendelea Kileleni: Je, Ni Nani Anaoweza Kuwashinda? Kubeba Ubingwa EPL

Zaidi ya miongo miwili imepita tangu Arsenal walipopata taji la mwisho la Premier League katika msimu wao wa kihistoria wa The Invincibles. Kwa kipindi chote hicho, timu hiyo imekumbana na vipindi vya kutokuwa na uthabiti, mapambano, na wakati mwingine kiwango cha chini kuliko kilichotarajiwa. Hata hivyo, msimu huu inaonekana kuwa tofauti. Arsenal inaonekana kuwa na…

Read More

Chelsea wababe Stamford Bridge, City wapoteza nyumbani – Matokeo ya Ulaya Usiku wa Leo

Mabingwa wa Dunia, Chelsea, wameonyesha ubabe mkubwa baada ya kuicharaza Barcelona mabao 3-0 katika dimba la Stamford Bridge, kwenye mchezo uliotawaliwa na wenyeji kwa muda mrefu. Chelsea 3-0 Barcelona ⚽ 27’ Kounde (og) ⚽ 55’ Estêvão ⚽ 73’ Delap 🟥 44’ Araujo (Barcelona) Barcelona walijikuta wakiwa pungufu muda mfupi kabla ya mapumziko baada ya Araujo…

Read More

Napoli, Juve, Dortmund, City… Timu Kubwa Zote Zinacheza Leo, Hakuna Kulala! Bashiri Ushinde!

Ni siku nyingine ya wababe wa Ulaya kukutana katika viwanja mbalimbali na kusaka pointi 3 muhimu kabisa. Chelsea, Napoli, Juventus, Dortmund na wengine kibao wapo kuhakikisha hutokei patupu. Unangoja nini sasa?. Ingia na ubashiri na Meridianbet sasa. Tukianza na Manchester City wao watakuwa Etihad kumenyana vikali dhidi ya Bayer Leverkusen ya kule Ujerumani. City ametoka…

Read More

Mourinho: “Sikubaliani na wachezaji wanaonisaliti” – awajia juu mastaa wa Benfica licha ya ushindi wa 2-0

Kocha wa Benfica, Jose Mourinho, ameibua mjadala mpya baada ya kutoa lawama kali kwa wachezaji wake licha ya timu yake kushinda 2-0 dhidi ya Atletico CP katika mchezo wa Kombe la Ureno hatua ya raundi ya nne. Benfica iliepuka fedheha dhidi ya timu hiyo ndogo kutoka daraja la tatu, lakini Mourinho – maarufu kwa matamshi…

Read More

Wanaowania Tuzo za TFF 2024/25 Wapo Hapa… Tuzo Kutolewa Desemba 5, 2025, The Super Dome, Dar

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limefahamisha wanaowania Tuzo za Msimu wa Ligi Kuu 2024/2025, huku tukitarajia watakaoibuka washindi rasmi Desemba 5, 2025 katika ukumbi wa The Super Dome, Dar es Salaam. Wanaowania Wakuu wa Tuzo za Ligi Kuu NBC: Mchezaji Bora: Dickson Job (Yanga), Pacome Zouzoua (Yanga), Maxi Nzengeli (Yanga), Jean Ahoua (Simba),…

Read More

Hii Hapa Orodha ya Washindi wa Tuzo za CAF 2025 Zilizofanyika Morocco

Sherehe za utoaji wa Tuzo za Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF Awards 2025) zimefanyika kwa kishindo na kushuhudia wachezaji, makocha, marefa na timu mbalimbali zikitambuliwa kwa mafanikio ya mwaka. Mwaka huu Morocco imeendelea kung’ara kwa namna ya kipekee katika tuzo nyingi, huku Afrika Mashariki pia ikipata mwakilishi kupitia bao la mwaka. Washindi wa Tuzo…

Read More