Timu ya Taifa ya Afrika Kusini, Bafana Bafana imefuzu kwenda hatua ya 16 bora ya kombe la Mataifa Afrika AFCON 2025 kufuatia ushindi wa 3-2 dhidi ya Zimbabwe huku Misri ambayo ilishafuzu kwenda hatua hiyo ikitoshana nguvu na Angola kwa sare tasa.
FT: Zimbabwe πΏπΌ 2-3 πΏπ¦ Afrika Kusini
β½ 19β Maswanhise
β½ 73β Modiba (og)
β½ 07β Moremi
β½ 50β Foster
β½ 82β Appollis (P)
FT: Angola π¦π΄ 0-0 πͺπ¬ Egypt
MSIMAMO KUNDI B (baada ya mechi tatu)
1. πͺπ¬ Egypt β pointi 7
2. πΏπ¦ South Africa β pointi 6
3. π¦π΄ Angola β pointi 2
4. πΏπΌ Zimbabwe β pointi 1