Camara ni njano na kijani

Mohamed Damaro Camara rasmi ni mali ya Yanga SC ikiwa ni zawadi kwa mashabiki ndani ya 2025 kwa kazi ndani ya 2026. Desemba 31,2025 Yanga SC ambao ni mabingwa watetezi wamemtambulisha rasmi Camara kuwa ingizo jipya kwenye kikosi hicho kinachotetea ubingwa. Hayo yote ni baada ya makubaliano kwa pande zote mbili kuhusu kupata huduma yake…

Read More

Kiungo huyu Okello kwenye hesabu Yanga SC

INAELEZWA kuwa Yanga SC wamefikia hatua nzuri kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uganda, ambaye bado kijana. Kijana huyo mwenye maiaka 25 alikuwa anatajwa kuwa kwenye rada za Simba SC msimu uliopita ilikuwa ngumu kumpata kutokana na kanadarasi yake kuwa ya mwaka mmoja. Kwa sasa ni miezi sita inatajwa kusalia huku…

Read More

Kocha mpya Simba SC tayari kwa kazi

Kocha Mkuu wa Simba SC Steve Barker amewasili nchini kwa maandalizi ya mechi za ushindani kitaifa na kimataifa. Desemba 29,2025 Barker aliwasili Tanzania akiwa na wasaidizi wawili wapya tayari kwa kuwafundisha wachezaji wa timu hiyo yenye maskani yake Msimbazi. Simba SC imetoka kuachana na Meneja Mkuu, Dimitar Pantev na benchi lake la ufundi kutokana na…

Read More

iMoon Yaungana Na Meridianbet, Teknolojia, Msisimko na Ushindi Vinakutana

Meridianbet imefungua ukurasa mpya katika historia ya kasino mtandaoni kwa kuileta iMoon, jukwaa linaloleta mabadiliko halisi katika namna wachezaji wanavyocheza na kushinda. Katika enzi ya burudani ya kasi, wapenzi wa kasino hawahitaji tena michezo ya kawaida, wanahitaji uzoefu unaochanganya akili, maamuzi ya haraka na msisimko wa kila sekunde. iMoon limekuja kujibu hitaji hilo. Kupitia ujio…

Read More

AFCON 2025 Yazidi Kupamba Moto Mechi Kali Zarejea Leo

Wakali wa ubashiri Meridianbet wanakukaribisha wewe mteja ana ambaye bado hujajiunga na kampuni hii pendwa ya ubashiri uje utimize ndoto zako hapa. Tandika jamvi la ushindi leo hapa hapa. Tukianza na mechi hii ya Angola wao watakipiga dhidi ya Egypt ni moja ya mechi kali kabisa kupigwa huku kila timu ikihitaji kushinda mechi hii. Ikumbukwe…

Read More

AFCON 2025: Gabon 2-3 Msumbiji

JUMAPILI yenye utulivu imeshuhudia moja ya mchezo wenye ushindani mkubwa na dakika 90 zikikamilika kwa mabao 5 kufungwa uwanjani. Gabon 2-3 Msumbiji mchezo wa hatua ya makundi AFCON 2025 nchini Morocco Desemba 28,2025. Ni mchezo wa pili kati ya mitatu kwa kundi F. Magoli ya Gabon yamefungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 45+5 na Moucketou-Moussounda…

Read More