SIMULIZI YA ALIYETAKA KUFURUMUSHWA KISA ALIKUWA KIJIJINI

SIMULIZI ya aliyetaka kufurumushwa kisa alikuwa kiijini Kwa jina ni Elizabeth kutoka katika kaunti ya Bungoma. Tulikuwa kwenye ndoa na mume wangu Benson kwa muda wa miaka minne sasa. Tulikuwa na maisha mazuri kwani hakuna lolote lililokuwa na kuvunja uhusiano wetu kuja miogoni mwetu. Benson alikuwa ni mwanamume ambaye alijali maslahi yangu nami nilikuwa wa…

Read More

TAIFA STARS MATUMAINI KAMA YOTE KUFUZU KOMBE LA DUNIA

HESABU kubwa kwa sasa kwa Kim Poulsen ambaye ni Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ni kuona namna gani timu hiyo itafanikiwa kufuzu Kombe la Dunia. Novemba 11, Stars itakuwa na kazi mbele ya DR Congo mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Spoti Xtra limezungumza na Poulsen ambaye anafunguka mipango namna hii:- “Wachezaji wapo…

Read More

STARS KAZI NI KWENU KUWAPA RAHA MASHABIKI

MAANDALIZI yamezidi kupamba moto kwa wachezaji 27 ambao waliitwa na Kocha Mkuu, Kim Poulsen kwa ajili ya kuanza kujipanga kwa mechi za kimataifa ambazo ni ngumu na muhimu kupata ushindi. Kwa hilo kinachotakiwa kwa wale ambao wameitwa katika timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ni kuwapa raha mashabiki ambayo ni ushindi hakuna namna nyingine….

Read More

SIMULIZI MUAMALA ULIOKOSEWA

SIMULIZI ya kijana aliyefanya makosa wakati wa kutuma shilingi, mkwanja kwa ndugu yake na namna muamala wake ulivyoweza kurejea. Sijawahi kuhisi jinsi nilihisi wakati mtu mmoja kwa jina Mpapale alipokea pesa yangu na kukataa kuirudisha. Nilikuwa na mgonjwa katika Hospitali moja kubwa Afrika Mashariki  na ilipangwa kutolewa Ijumaa. Nilikuwa nimepata mshahara wangu na nilidhani ni…

Read More

LEWANDOWSKI WA ACHA TU HUKO UEFA

NOVEMBA 2,2021, Robert Lewandowski aliweka rekodi ya kuwa miongoni mwa wachezaji waliofunga na kutoa pasi ya bao pamoja na kukosa penalti kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.   Mara ya mwisho ilikuwa ni Novemba 2013 kufanyika jambo hilo alikuwa ni Diego Costa alipofanya hivyo katika Ligi ya Mabingwa Ulaya. Lewandowski alifanya hivyo wakati timu…

Read More

SPORTPESA NGUZO YA MWENDO WA WAKONGWE YANGA

  NDANI ya miaka minne tu, kampuni maarufu zaidi nchini ya michezo ya kubahatisha ya SportPesa ndio inayoshikilia rekodi ya kuwa kampuni iliyoweka fedha nyingi zaidi za udhamini katika klabu kongwe zaidi nchini ya Yanga na ndio mabingwa wa kihistoria.   Yanga ndio klabu kongwe na ambayo imechukua makombe mengi zaidi ya Ligi Kuu Bara…

Read More

MAMBO 7 YALIWATOA SIMBA KWENYE RELI LIGI YA MABINGWA

  KINYONGE kabisa wawakilishi pekee katika mashindano ya kimataifa Simba wanakwenda katika Kombe la Shirikisho baada ya Oktoba 24 kutolewa kizembe Uwanja wa Mkapa kwa kufungwa mabao matatu ya ajabu wakiwa nyumbani. Ni maumivu kwa mashabiki wa Simba,viongozi pamoja na wachezaji kwa kukosa nafasi ya kutinga hatua ya makundi, leo tunaangazia mabmbo 7 ambayo yaliifanya…

Read More

NABI REKODI ZAKE KAMA ZOTE YANGA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga alitambulishwa ndani ya kikosi hicho ilikuwa ni Aprili 20 na alianza kazi yake ya kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Katika mchezo huo uliochezwa Aprili 24, Nabi alishuhudia Uwanja wa Mkapa ubao ukisoma Azam FC 1-0 Yanga hiyo ilikuwa inaitwa…

Read More

WAWAKILISHI WETU KIMATAIFA KAZI IPO KWENU

KUPATA nafasi ya timu nne kushiriki katika mashindano ya kimataifa kunahitaji matokeo mazuri kwa wawakilishi wetu wa kimataifa ambao wana kazi ya kupeperusha bendera. Kufanya kwao vizuri kwenye mechi za mwanzo ni hatua nzuri na inaongeza nguvu ya kupambana kwenye mechi zijazo kwa sababu wamepata sehemu ya kuendelea pale ambapo walikuwa wameishia. Simba ambao ni…

Read More

FEI TOTO ATOA SIRI YA MABAO YA KIDEONI

KIUNGO mzawa wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’, amebainisha kuwa amezoea kufunga mabao magumu jambo ambalo halikumpa shida kuwatungua KMC.   Nyota huyo ambaye juzi Jumanne alifunga bao la kideoni nje ya 18 na kutoa asisti katika ushindi walioupata Yanga wa mabao 2-0, amesema ataendelea kufunga kwa staili hiyo kila akipata nafasi.   Akizungumza na…

Read More

KIKOSI BORA CHA LIGI YA WANAUME

Utoaji wa tuzo umefanyika Oktoba 21 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere uliopo Posta, Dar es salaam.Tuzo hizo ziligawanyika katika makundi makuu matatu ambayo ni ligi kuu, Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC), maarufu kama FA na Ligi ya Wanawake. Kikosi bora cha Ligi ya Wanaume 1. Aishi Manula 2. Shomari Kapombe 3….

Read More