KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA VIPERS YA UGANDA

SIMBA leo ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Vipers ya Uganda mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Kikosi cha Simba ambacho kitaanza leo kipo namna hii:-Aishi Manula ameanza langoni, Shomari Kapombe, Henock Inonga, Joash Onyango na Mohamed Hussein katika ukuta. Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute katika viungo wakabaji na Kibu Dennis, Ntibanzokiza na Clatous…

Read More

YANGA KAZINI KESHO KIMATAIFA

JUMAPILI Yanga ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Real Bamako ikiwa ni mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika. Yanga imetoka kupata ushindi wa mabao3-1 dhidi ya TP Mazembe kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Cedrick Kaze, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho na wana imani…

Read More

SIMBA:VIPERS HATUWAACHI SALAMA

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa hawatawaacha Vipers salama kwenye mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika licha ya kuwa watakuwa ugenini. Simba kwenye kundi C inaburuza mkia ikiwa haijakusanya pointi baada ya kucheza mechi mbili ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Horoya na ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 0-3 Raja Casablanca….

Read More

MAJOGORO AFUNGUKIA KICHAPO YANGA

BARAKA Majogoro kiungo wa KMC amesema kuwa sababu ya kupoteza mchezo wao dhidi ya Yanga ni kushindwa utumia nafasi ambazo walizipata pamoja na wapinzani wao kutumia zile ambazo walipata. Februari 22 KMC ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Mwamba huyo mwenye rasta kichwani alianza kikosi…

Read More

KIMATAIFA TABASAMU LINAHITAJIKA

HAKUNA utani wa ngumi kwenye maisha ya siku zote ipo hivyo hata kwenye furaha pia hupaswi kuweka maumivu kila siku lazima uishi kwenye furaha siku zote. Kazi kubwa kwa sasa wawakilishi wa Tanzania wanakwenda kutupa kete zao nyingine kwenye anga za kimataifa kutokana na kuwa na majukumu ya kupeperusha bendera ya Tanzania. Simba mwendo wao…

Read More

YANGA WAIVUTIA KASI BAMAKO

MAANDALIZI ya nyota wa Yanga kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Real Bamako ya Mali yamezidi kupamba moto. Kesho Februari 26 timu hiyo ina kibarua cha kupeperusha bendera kwenye mchezo wa Kimataifa dhidi ya Real Bamako. Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe ameweka wazi kuwa maandalizi yanakwenda vizuri na wanahitaji matokeo chanya…

Read More

ZIGO ANALOBEBESHWA BOCCO SIO SAIZI YAKE

NIMEONA kwa sasa lawama nyingi zimekuwa kwenye safu ya ushambuliaji ya Simba kitaifa na kimataifa, hakika ni kweli wanakosea na wanashindwa kufunga lakini je lawama hizi zinamstahili John Bocco pekee? Ukianza kwenye mechi za ligi ule dhidi ya Azam FC wakati wakitoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1 bado Bocco anatajwa kuwa sababu za Simba kushindwa…

Read More

LIGI MBALIMBALI ULAYA KUKIWASHA WIKIENDI HII, USIKAE MBALI WEKA MKEKA WAKO UPATE MKWANJA

Wikiendi hii Meridianbet wanakupa fursa ya kunyakua kitita kupitia michezo mbalimbali inayopigwa katika ligi mbalimbali barani ulaya wikiendi hii, Kwakua Meridianbet wamekuweka odds bomba na machaguzi kibao ambayo yanakupa fursa ya kunyakua kitita. Mechi za Jumamosi 25 Febuari Baada ya kulazimishwa sare katika mchezo uliomalizka klabu ya Manchester City wikiendi hii itakua ugenini kumenyana na…

Read More

M-BET YAMWAGA MAMILIONI WASHINDI WAWILI, YAITAKIA KHERI SIMBA

KAMPUNI ya mchezo ya kubashiri ya M-Bet Tanzania imewazawadia washindi wawili kila mmoja Sh175.3 millioni baada ya kubashiri kwa usahihi matokeo ya ligi mbalimbali duniani kupitia mchezo wa Perfect 12. Washindi hao ni Mesharam Bakunda na Abdallah Segatwa ambao walizawadiwa fedha zao katika hafla fupi iliyofanyika makao makuu ya kampuni ya M-BET Tanzania jijini Dar…

Read More

AZAM FC KUMENYANA NA KMC AZAM COMPLEX

BAADA ya kukamilisha kete yao dhidi ya Simba Uwanja wa Mkapa, kituo kinachofuata ni dhidi ya KMC. Kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao ulisoma Simba 1-1 Azam FC na kuwafanya wagawane pointi mojamoja. KMC wao wametoka kupoteza mchezo wao uliopita dhidi ya Yanga uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Ubao ulisoma Yanga 1-0 KMC hivyo…

Read More

DODOMA JIJI KUMALIZANA NA IHEFU

UONGOZI wa  Dodoma Jiji  umeweka wazi kuwa baada ya kupoteza mchezo wao wa ligi dhidi ya  Mtibwa Sugar  hasira zao wanazihamishia kwa  Ihefu . Kwenye mchezo waliokuwa Uwanja wa  Manungu  walipoteza kwa kufungwa mabao 2-1. Leo Februari 24,2023 Dodoma Jiji wana kazi ya kusaka pointi tatu muhimu dhidi ya Ihefu ya Mbeya. Mchezo huo unatarajiwa…

Read More

MANCHESTER UNITED WAINYOOSHA BARCELONA

Manchester United wamepindua meza dhidi ya Barcelona na ubao ulisoma Manchester United 2-1 Barcelona. Ni katika mchezo wa Europa League uliochezwa Uwanja wa Old Trafford. Robert Lewandowski alianza kupachika bao kwa mkwaju wa penalti dakika ya 18 ngoma iliwekwa Sawa na Fred dakika ya 47. Msumari wa pili kwa Manchester United ulijazwa kimiani na Antony…

Read More

MERIDIANBET YATOA BODABODA NA TV USSD & KASINO YA MTANDAONI

Meridianbet hatimaye imewatangaza washindi wake wa Promosheni kabambe ya Bashiri bila bando na kasino, Huku Said akijinyakulia Bodaboda yake mpyaa.  Piga *149*10# Chagua Tukupe Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya mtandaoni, sloti, Poker, Aviator na Roulette– Chagua Tukupe. Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Meridianbet Martina Nkurlu alishiriki zoezi la kuwakabidhi…

Read More