>

SIMBA NI MWENDO WA FULL PACKAGE

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa umechukua muziki kamili wa benchi la ufundi ambalo litakuwa na kazi ya kuwanoa wachezaji wa timu hiyo Ipo wazi kuwa Novemba 5 baada ya ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 1-5 Yanga mambo yalibadilika kwenye benchi la ufundi, Roberto Oliveira aliyekuwa kocha mkuu alisitishiwa mkataba wake Novemba 7….

Read More

KUSANYA MPUNGA WA MAANA NA MECHI ZA UEFA LEO

Kama kijana najua una ndoto nyingi za mafanikio kulingana na hali ya uchumu ilivyo sasa nchini. Basi Meridianbet wanakuambia hivi ukibashiri na wao kutimiza ndoto zako ni rahisi sana kwani huku wamekuwekea kila ambacho unakitaka wewe. Bashiri sasa mechi za UEFA hapa. Hebu tuanze pale katika jiji la Italia ambapo Lazio Rome atakuwa mwenyeji wa…

Read More

KOCHA BENCHIKHA – ”SITOANGALIA MAJINA YA WACHEZAJI, NITAANGALIA PAFOMANSI”..

Klabu ya Simba imefanya mkutano na waandishi wa habari kwa ajili ya kujibu maswali tofautitofauti baada ya kumtangaza Kocha wao mpya Abelhak Benchikha. Moja ya mambo yaliyoongelewa na Benchikha ni kwamba yeye hatoangalia jina la mchezaji bali ataangalia uwezo wa kila mchezaji uwanjani ili ajue kikosi alichonacho. Zaidi sana Benchikha amesema anataka ushirikiano kutoka kwa…

Read More

USHINDANI KWENYE LIGI KUU BARA UENDELEE

MZUNGUKO wa kwanza bado unaendelea kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Bara. Ikumbukwe kwamba kwa sasa timu nyingi zinapambana kufanya vizuri na kupata matokeo ndani ya uwanja. Kila timu inafanya vizuri ndani ya dakika 90 kusaka ushindi. Kushindwa kufanya vizuri kwenye mechi husika haina maana kwamba kazi itakuwa imekwisha hapana ni muhimu kupambana zaidi kwa…

Read More

ANA NDOTO ZA KUREJEA UWANJANI MDAMU, ANAHITAJI MSAADA

NYOTA Gerald Mdamu aliyewahi kukipiga ndani ya Polisi Tanzania bado anapambania hali yake ili kurejea kwenye ubora wake mdogomdogo baada ya kuumia mguu walipopata ajali ya gari wakitokea mazoezini. Julai 9 2021 ilikuwa ni ganzi ya maumivu kwenye ulimwengu wa mpira baada ya ajali hiyo kutokea na mchezaji aliyeumia zaidi kuliko wote alikuwa ni Mdamu….

Read More

HAWA HAPA MAKOCHA WAPYA SIMBA

RASMI uongozi wa Simba umewatambulisha makocha wapya watatu ambao watakuwa na kikosi hicho kutimiza majukumu yao kwenye mechi za kitaifa na kimataifa. Usiku wa kuamkia Novemba 28 makocha hao wametua Bongo na kupokelewa na viongozi wa Simba wakiongozwa na Mtendaji Mkuu Imani Kajula. Timu hiyo ilisitisha mkataba wa Roberto Oliveira Novemba 7 muda mfupi baada…

Read More

AZAM FC WAKIMBIZA DAKIKA 270

NDANI ya dakika 270 kwenye mechi tatu za ligi, Azam FC wamekimbiza kwa kukomba pointi zote tisa walizokuwa wakisaka ndani ya uwanja. Chini ya Kocha Mkuu, Yusuph Dabo kwenye mechi tatu mfululizo ilikuwa ni kicheko kwao huku maumivu yakiwa kwa wapinzani wao. Ilianza na kete ya ugenini ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika, mwisho wa…

Read More

DULLAH MBABE KAPIGWA TENA NA UBABE WAKE

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Abdallah Pazi ‘Dullah Mbabe ameendelea kuwa mteja wa mpinzani wake Tshimanga Katompa raia wa DR Congo kufuatia kukubali kichapo kwa mara ya pili mfululizo. Katika pambano hilo ambalo limepigwa juzi usiku kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Mount Meru jijini Arusha chini ya promosheni ya Red in Lady Promotion inayoongozwa…

Read More

BOSI SIMBA AMEFUNGUKA MWENDO WA TIMU NA UGUMU ULIOPO

MENEJA wa idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa mwendo ambao wanakwenda nao kwenye mechi za kimataifa haujawa mzuri jambo linalowaongezea ugumu kupata matokeo kwenye mechi zijazo. Timu hiyo Novemba 25 ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 1-1 ASEC Mimosas katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Hatua ya Makundi….

Read More

MWANZO MBAYA KIMATAIFA IWE NI SOMO KWA VITENDO

WAWAKILISHI wa kimataifa kwenye mechi za kimataifa nyumbani na ugenini hakuna ambaye ameanza kwa mwendo mzuri.Ipo wazi kuwa ni mwendo mbovu wameanza nao kwa kushindwa kupata matokeo. Kutokana na kuanza hivyo kwa kushindwa kushinda huku wachezaji wakionekana kutotumia nafasi wanazotengeneza ni muhimu kutumia ubovu huo kuwa darasa huru kwenye mechi zinazofuata. Yanga na Simba katika…

Read More

SIMBA WASIKITIKIA MATOKEO YAO KIMATAIFA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa matokeo ambayo wameyapata kwenye mchezo dhidi ya ASEC Mimosas sio mazuri kwa upande wao kwa namna yoyote. Novemba 25 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 1-1 ASEC Mimosas ikiwa ni mchezo wa hatua ya makundi. Kwenye msako wa pointi tatu Simba ilikomba moja ikiwa nyumbani na kupoteza pointi…

Read More