
TWIGA STARS KAZINI, OPPAH KAWAKA
TIMU ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars ipo kazini inapambania nembo ya taifa kwa kupata ushindi katika viunga vya Azam Complex kwenye mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya kuwania Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Wafcon) 2024. Ni dhidi ya Togo kwenye Uwanja wa Azam Complex, jijini Dar ambapo wameanza…