>

YANGA KAMILI GADO KUWAKABILI WAPINZANI WAO KIMATAIFA

KIUNGO mkabaji, Mganda, Khalid Aucho na mshambuliaji, Mzambia, Kennedy Musonda wote wa Yanga wamesema kuwa wapo fiti tayari kuwavaa wapinzani wao Al Merrikh ya nchini Sudan. Timu hizo zitavaana katika mchezo wa marudiano wa kufuzu makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika utakaochezwa leo saa moja kamili usiku kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar. Katika mchezo…

Read More

ASTON VILA YAICHAPA BRIGHTON

NDANI ya dakika 26 Brighton imeshuhudia ikitunguliwa mabao matatu dhidi ya Aston Villa. Baada ya dakika 90 kukamilika ubao wa Uwanja wa Villa Park umesoma Aston Villa 6- 1 Brighton. Ni Ollie Watkins amepachika hat trick kwa mabao ya dakika ya 14, 21, 64, Pervis Estupinan alipachika bao dakika ya 26. Jacob Ramsey ni dakika…

Read More

NYOTA SIMBA ASHUSHA PRESHA, YUPO FITI KWA KAZI

KIUNGO wa Simba raia wa Ivory Coast, Aubin Kramo amerejea nchini akitokea nyumbani kwao kwa ajili ya matibabu na sasa anaendelea vizuri akisubiria taratibu za kurejea uwanjani kuipambania timu yake. Kiungo huyo wiki moja iliyopita aliomba ruhusa kwa uongozi wa Simba ili arejee nyumbani kwao kwa ajili ya kwenda kujiuguza majeraha yake ya goti ambayo…

Read More

KIMATAIFA MALIZIENI MKIA KWA UMAKINI

WIKI ya kutambua mbivu na mbichi kwenye anga la kimataifa hii hapa imefika ambapo kila mmoja atavuna kile ambacho atakipanda ndani ya dakika 90. Yale majigambo ya nje ya uwanja muda wake unakwenda kugota mwisho kwani ipo wazi kuwa hakuna marefu yasiyokuwa nan cha. Muda huu uliobaki kwa wawakilishi wetu kimataifa ni kuchanga karata kwa…

Read More

HAWA HAPA WALIOPIGA HAT TRICK KWA HARAKA ZAIDI

KUFUNGA mabao matatu ‘hat trick’ ndani ya mchezo mmoja sio kitu rahisi. Washambuliaji wengi wamekuwa na ndoto ya kufanikisha hilo na wengine hadi wanastaafu wanakuwa hawajafanikiwa kutimiza. Premier League ni kati ya ligi zinazofuatiliwa kwa kiasi kikubwa ulimwenguni. Hii imepelekea klabu za huko kusajili wachezaji wazuri hususan washambuliaji wenye uwezo mkubwa kucheka na nyavu kila…

Read More

MWAMBA HUYU SIMBA KUWAPA TABU KWELIKWELI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa nyota wao Fabrince Ngoma bado anajitafuta licha ya kuonyesha uwezo kwenye mechi za ligi ambazo alipata nafasi ya kucheza. Chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira ni mechi tatu kacheza akikomba dakika 225, katupia bao moja ilikuwa mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar, Uwanja wa Manungu. Wachezaji wa Simba, Oktoba Mosi…

Read More

HASIRA ZA KICHAPO KWA SIMBA KUWAANGUKIA TABORA UNITED

BAADA ya kupoteza kwenye mchezo wao uliopita wa ligi dhidi ya Simba hasira za Coastal Union zinahamia kwa Tabora United unaotarajiwa kuchezwa leo Septemba 29. Kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Uhuru, Coastal Union ilifungwa mabao 3-0 ikiwa ugenini dhidi ya mnyama Simba. Mabao yote ya Simba yalifungwa na Jean Baleke ikiwa ni hat trick…

Read More

AZAM FC WANA JAMBO LAO

KOCHA Mkuu wa Azam FC Yusuph Dabo amesema kuwa watafanyia kazi makosa yaliyopita kwenye mchezo wao dhidi ya Singida Fountain Gate ili kuendelea kupata ushindi. Katika mchezo huo Azam FC ilipata bao la ushindi dakika ya 90 kupitia kwa nyota wao Idd Suleiman, (Nado) alimtungua kipa wa Singida Fountain Gate, Beno Kakolanya. Singida Fountain Gate…

Read More