MASHINDANO YA AFL KUFANYIKA OKTOBA, UZINDUZI WA KIHISTORIA

MASHINDANO ya klabu bora barani Afrika, African Footal League , (AFL) yanayotarajiwa kufanyika Oktoba 2023, uzinduzi wake wake unatarajiwa kufanyika Dar, Tanzania. Ni mechi ya kwanza inatarajiwa kuchezwa Dar Oktoba 20,2023 ikiwa ni fursa kwa wachezaji bora Afrika kuonyesha uwezo wao kwenye ulimwengu wa michezo duniani. Mashindano hayo yanatarajiwa kuanzia katika hatia ya robo fainali…

Read More

SUALA LA MIKATABA LINAHITAJI UMAKINI

WACHEZAJI wengi kwenye timu mbalimbali Bongo wamekutana na Thank You kutokana na kile ambacho viongozi wameaona ilipaswa kufanyika hivyo. Sio Simba, Yanga, Azam FC, Singida Fountain Gate mpaka Geita Gold kuna wachezaji ambao walikutana na mkono wa asante. Pia kuna timu ambazo zilikutana na adhabu kutokana na kushindwa kuwalipa wachezaji ama makocha baada ya kuachana…

Read More

INGIZO JIPYA SIMBA LAANZA MATIZI

WINGA wa Simba Aubin Kramo ameanza mazoezi katika viwanja vya MO Simba Arena. Raia huyo wa Ivory Coast aliyeibuka ndani ya Simba akitokea ASEC Mimosas hakuwa fiti Jambo lililomuweka nje ya uwanja. Kramo aliumia kwenye mazoezi ya kujiandaa na mechi za Ngao ya Jamii kule Tanga, Uwanja wa Mkwakwani. Simba ilicheza mechi mbili dhidi ya…

Read More

ORODHA YA WACHEZAJI WA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA HII HAPA

KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania, (Taifa Stars) kitaweka kambi jijini Tunisi, Tunisia kwa ajili ya kujiandaa kwa mchezo wa marudiano wa Kufuzu AFCON 2023 dhidi ya Algeria. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Septemba 7, 2023.  Timu hiyo ipo chini ya Kocha Mkuu Adel Amrouche ambyae ametaja orodha hii:- Beno Kakolanya (Singida BS) Metacha Mnata…

Read More

MKALI WA MABAO SIMBA AFUNGUKIA ISHU YAKE NA KOCHA

MSHAMBULIAJI wa Simba, Moses Phiri amevunja ukimya kwa kusema hana tatizo lolote na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mbrazil, Robert Oliveira ‘Robertinho’ kutokana na kukosa nafasi ya kucheza muda mrefu. Msimu wa 2022/23 Phiri alitupia kibindoni mabao 10 na alikuwa shuhuda mfungaji bora akitokea Yanga na mwingine Simba. Ni Fiston Mayele wa Yanga na Saido…

Read More

SIMBA YAREJEA KAMBINI KUIVUTIA KASI POWER DYNAMO

BAADA ya kukamilisha mechi mbili za Ligi Kuu Bara na kukomba pointi sita jumlajuma, tayari wachezaji wa Simba pamoja na benchi la ufundi wamerejea kambini. Ikumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa ligi ni Yanga chini ya kocha Miguel Gamondi. Yanga imeanza kwa kasi msimu wa 2023/24 sawa na Simba ambao ni watani zao wa jadi wote…

Read More

ISHU YA PENALTI YAMVURUGA GAMONDI

ZAWAD Mauya, kiungo mzawa mkabaji ndani ya kikosi cha Yanga amekutana na kisanga kutoka kwa Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi baada ya kuwa chanzo cha penalti katika mchezo huo. Ikumbukwe kwamba Yanga katika mechi tano mfululizo ilizocheza ilikuwa haijaruhusu bao la kufungwa rekodi hiyo ilitibuliwa na ASAS FC kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa…

Read More

THANK YOU YA KWANZA KWA KOCHA BONGO

SINGIDA Fountain Gate imeweka wazi kuwa Hans Pluijm hataendelea kuwa kwenye benchi la ufundi msimu wa 2023/24. Pluijm amepewa mkono asante Agosti 29 ndani ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho Afrika. Kwa sasa timu hiyo ya Singida Fountain Gate itakuwa chini ya Mathias Lule ambaye ni kocha msaidizi. Mchezo wa…

Read More

MUDA ULIOBAKI KWA USAJILI UTUMIKE KWA UMAKINI

HAKUNA marefu yasiyo na ncha ipo hivyo na ukweli hauwezi kuwekwa kando kwa namna yoyote lazima utakutana nao. Sio Yanga, Simba hata Singida Fountain Gate ni muhimu kukamilisha utaratibu kwa wakati na umakini mkubwa. Tumeona wapo makocha ambao wameanza na timu kwa mwendo wa kusuasua wana nafasi ya kufanya maboresho kwa wakati ujao. Kwa wakati…

Read More

YANGA MWENDO WA 5 G KWENYE LIGI

MWENDO wa 5G kwa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga kwa wapinzani wao unaendelea. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Azam Complex umesoma Yanga 5-0 JKT Tanzania. Kasi ya ufungaji kwa Yanga ilizidi kipindi cha pili yalipofungwa mabao manne na kipindi cha kwanza ilikuwa bao moja. Aziz KI alifungua pazia dakika…

Read More

KOCHA SIMBA APEWA DAKIKA 180

BAADA ya kukiongoza kikosi cha Simba kwenye mechi mbili za Ligi Kuu Bara kwa kukomba ushindi kwenye mechi zote mbili, Kocha Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira amepewa dakika 180 za moto kimataifa. Mechi ambazo Oliveira alikiongoza kikosi cha Simba ilikuwa ugeini ubao wa Uwanja wa Manungu ulisoma Mtibwa Sugar 2-4 Simba na alikamilisha dakika 180…

Read More

SHEREHE KWA YANGA KISA KUWAFUNGA ASAS INATOSHA

USHINDI wa kwanza, Yanga wakiwa (ugenini), walifanikiwa kushinda kwa mabao 2-0 na waliporejea wakawatwanga kwa mabao 5-1. Ushindi huo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, unaifanya Yanga kuvuka hadi hatua ya kwanza ikiwa inakwenda kukutana na El Merreikh ya Sudan. Mechi ya Yanga dhidi ya ASAS FC bila shaka haikuwa mechi ya…

Read More

AZAM FC YAIPIGA BAO YANGA KATIKA HILI

WAKATI Yanga wakiwa katika kampeni ya kukaa katika nafasi ya kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara, Azam FC wameanza kujibu mapigo kwa kuishusha Simba. Ushindi wa mabao 3-1 waliopata dhidi ya Tanzania Prisons umewaongezea pointi tatu na kuwafanya wafikishe pointi sita kibindoni. Mabao ya Prince Dube dakika ya 11, Idd Nado dakika ya 47 na…

Read More