>

RUVU SHOOTING DARASA KWE WENGINE

HESABU za kwenye Ligi Kuu Bara kwa sasa zimeshafungwa kwa baadhi ya timu kutokana na kuvuna kile ambacho wamekipanda, Yanga ni mabingwa wa ligi na wametinga hatua ya fainali ya Azam Sports Federation. Ni dhidi ya Singida Big Stars walipenya kwenye nusu fainali na sasa watakwenda kumenyana na Azam FC, Mkwakwani Tanga. Ruvu Shooting ya…

Read More

HII NDIYO TIMU ATAKAYOCHEZA FEI TOTO

INAELEZWA kuwa uongozi wa Yanga umeanza mazungumzo na Klabu ya Sekhukhume ya Afrika Kusini ili kufikia makubaliano ya kumuuza Feisal Salim. Kiungo huyo mali ya Yanga yupo kwenye mvutano na mabosi wa timu hiyo ambayo Mei 28 itacheza fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USM Alger ya Algeria. Taarifa zumeeleza kuwa…

Read More

WINGA HUYU AINGIA ANGA ZA SIMBA

IMEELEZWA kuwa winga Leandre Onana mwenye miaka 23 mali ya Rayon Sports ya Rwanda yupo kwenye hesabu za mabosi wa Simba. Timu hiyo imekosa taji la Ligi Kuu Bara ambao upo mikononi mwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Nyota huyo ni winga ametupia mabao 15 na pasi 10 za mabao ametoa ndani ya…

Read More

YAJUE MAJEMBE YA KAZI NDANI YA SIMBA

MAJEMBE saba yanayovuja jasho la haki ndani ya kikosi cha Simba yamewapa kicheko Simba wakiamini kuwa hawajabahatisha kupenya kwenye orodha ya kuwania tuzo bali ubora umewabeba. Ipo wazi kwamba Yanga ni mabingwa wa msimu wa 2022/23 huku Simba ikigotea nafasi ya pili. Pia Yanga Mei 28 2023 inakwenda kucheza mchezo wa fainali ya Kombe la…

Read More

SERIKALI YAENDELEZA NEEMA KWA YANGA KIMATAIFA

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ameunga mkono hamasa ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kununua tiketi 1,000 za mchezo wa fainali kati ya Yanga dhidi ya USM Alger. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Jumapili ambapo hamasa zimeendelea kwa sasa mpaka Mei 28 siku ya mchezo. Rais Samia amekuwa…

Read More

BEKI HUYU AINGIA ANGA ZA MSIMBAZI

NICKSON Kibabage nyota wa Singida Big Stars anatajwa kuwa katika rada za Simba. Beki huyo ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Hans Pluijm ndani ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara. Ni mabao manne ametupia ndani ya ligi Kati ya 32 yaliyofungwa na timu hiyo iliyo nafasi ya nne na pointi 51. Akiwa ndani…

Read More

MTIBWA SUGAR MKIA WAKE MGUMU

MTIBWA Sugar mkia wao wanaokula ni mgumu kutokana na kuwa ni namba moja kwa timu iliyotunguliwa mabao mengi zaidi ndani ya ligi. Yanga na Simba zinaogoza kwa timu ambazo zimefungwa mabao machache msimu huu wa 2022/23 baada ya mechi 28. Yanga imefungwa mabao 15 sawa na yale ambayo imefungwa Simba. Timu zote zikiwa zimecheza jumla…

Read More

WAKALI WA KUTUPIA KWA KUTUMIA MGUU WA KULIA

MASTAA wanne Bongo wakali wakutupia kwa kutumia mguu ule wa kulia. Ipo wazi kwamba Yanga wamesepa na taji la ligi baada ya kufikisha pointi 74 mkononi wana mechi mbili. Fiston Mayele katupia mabao 12 akitumia mguu wa kulia yupo zake ndani ya Yanga. Mayele ni namba moja kwa kutupia akiwa na mabao 16 kibindoni. Jeremiah…

Read More

MTIBWA SUGAR HESABU KWA KAGERA SUGAR

IKIWA imetoka kupoteza mchezo wake uliopita dhidi ya Polisi Tanzania tayari Mtibwa Sugar wameanza hesabu kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar. Vinara wa ligi ni Yanga wakiwa wameshatwaa ubingwa walipokutana na Mtibwa Sugar, ubao wa Uwanja wa Manungu ulisoma Mtibwa Sugar 0-1 Yanga. Mei 15,2023 ubao wa Uwanja wa Ushirika Moshi ulisoma Polisi Tanzania 3-1…

Read More

SIMBA KAZI INAENDELEA NAMNA HII

WACHEZAJI wa Simba kesho Mei 24 wanatarajiwa kuwasili kambini kwa ajili ya maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara. Timu hiyo chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira na Juma Mgunda wana kazi ya kuongoza kikosi hicho kwenye mechi mbili. Kutinga fainali kwa Yanga kwenye Kombe la Shirikisho Afrika kumefanya mabadiliko hayo ndani ya ligi. Ikumbukwe…

Read More

NGOMA ILIKUWA NZITO KWA WAKULIMA, JANGWANI WAKAPETA

KILA mmoja anafuata njia zake ambazo zitampa mafanikio akikwama kidogo kupotea ni hatua inayofuata asipojipanga itakuwa kazi nyingine. Ilikuwa hivyo Uwanja wa Liti, njia za Singida Big Stars wakulima wa alizeti njia ziliwagomea na zile za Yanga zikawapa ushindi baada ya dakika 90. Ngoma fainali ya Azam Sports Federation itakuwa ni Azam FC v Yanga,…

Read More

NEWCASTEL UNITED HAO LIGI YA MABINGWA ULAYA

SASA Newcastle United uhakika kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao kwa mara ya kwanza tangu 2003 baada ya sare ya 0-0 dhidi ya Leicester. Kikosi cha Eddie Howe kilijihakikishia nafasi ya nne bora kwa kuonyesha uwezo mkubwa na kuwaacha wageni ambao walipiga shuti moja pekee kwenye lango la wapinzani. Newcastle walidhibiti mechi lakini walichanganyikiwa…

Read More