>

YANGA YATINGA ROBO FAINALI,YALIPA KISASI

YANGA imetinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho kwa ushindi wa mabao 2-0 US Monastir ya Tunisia. Hiki ni kisasi ambacho wamekilipa Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kwa kuwa mchezo waliokutana nao ugenini nao walitunguliwa mabao 0-2. Ngoma ilikuwa ni mwendo wa mojamoja kila kipindi ambapo Kenned Musonda alianza kupachika bao…

Read More

MWEDNO WA RUVU NI WA KINYONGA

MWENDO wa Ruvu Shooting kwa msimu wa 2022/23 hakika ni wa kinyonga kutokana na kushindwa kuwa kwenye ule ubora wao wa kupapasa. Kwenye msimamo ipo nafasi ya 15 imekusanya pointi 20 baada ya kucheza mechi 25. Ukuta wao umeruhusu kutunguliwa mabao 30 huku ile safu yao ya ushambuliaji ikitupia mabao 16. Timu hiyo imepoteza jumla…

Read More

YANGA 1-0 US MONASTIR

UBAO wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 1-0 US Monastri ikiwa ni mchezo wa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho. Yanga wanapambana kusepa na pointi tatu muhimu kujihakikishia nafasi ya kutinga hatua ya robo fainali. Bao la kuongoza limefungwa na Kenned Musonda kipinda cha kwanza dakika ya 33. Musonda ametimiza majukumu yake akitumia pasi ya…

Read More

ARSENAL YATEMBEZA 4G

ARSENAL haina utani baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Ni Gabrie Martinell dakika ya 28,Bukayo Saka alitupia kambani mawili dakika ya 43 na 74 na ile kamba ya nne ni mali ya Graniti Xhaka ilikuwa dakika ya 55. Bao pekee la wapinzani wao…

Read More

YANGA V US MONASTIR LEO WAKUBWA KAZINI

LEO ndiyo leo asemaye kesho huyo ni muongo hatimaye ile siku imewadia na kazikazi kwa wakubwa inatarajiwa kufanyika Uwanja wa Mkapa. Ni wenyeji Yanga chini ya kocha Nasreddine Nabi raia wa Tunisia kwenye msako wa pointi tatu dhidi ya US Monastir vinara wa kundi D wakiwa na pointi 10 wote wamecheza mechi nne. Hapa tunakuletea…

Read More

IHEFU WAMEZIMA NDOTO ZA AZAM FC MAZIMA

MATUMAINI ya Azam FC kutwaa ubingwa kwa msimu wa 2022/23 yamezimwa mazima na Ihefu baada ya Machi 13,2023 kuwatungua bao 1-0 Uwanja wa Highland Estate, Mbeya. Bao pekee la ushindi kwa Ihefu lilifungwa na Rafael Loth dakika ya 38 na kuwapoteza Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala. Kuyeyusha pointi tatu ugenini kunaifanya Azam…

Read More

YANGA:US MONASTIR WATATUAMBIA WALITUFUNGAJE

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa Waarabu watwaambia waliwafungaje kwenye mchezo uliopita kutokana na mipango kazi inayoendelea ndani ya timu hiyo. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi inashiriki Kombe la Shirikisho Afrika ipo hatua ya makundi inasaka pointi tatu ili kufikisha malengo ya kutinga hatua ya robo fainali ina pointi 7 kwenye kundi D…

Read More

IHEFU WANA BALAA HAO

WABABE kutoka Mbeya, Ihefu wakiwa Uwanja wa Highland Estate wanabalaa dhidi ya vigogo ambao walikutana nao katika uwanja huo. Yanga bado wanakumbuka namna walivyotunguliwa kwenye ligi kwa msimu wa 2022/23 walipotua ndani ya uwanja huo. Ubao wa Uwanja wa Highland Estate ulisoma Ihefu 2-1 Yanga na kutibua ie rekodi ya kutaka kufikisha mechi 50 bila…

Read More

SENEGAL NDANI YA BONGO

INAINGIA kwenye rekodi mpya ndani ya Bongo kwa mchezaji anayecheza Ligi Kuu Bara kuitwa timu ya Taifa ya Senegal. Ni Pape Ousmane Sakho ameitwa kwenye Timu ya Taifa ya Senegal kwenda kujumuika na wenzake kwaajili ya maandalizi ya mchezo wa kutafuta tiketi ya kufuzu AFCON 2023 dhidi ya Msumbiji. Sakho bado hajawa kwenye mwendo mzuri…

Read More

SIMBA WAIPIGIA HESAU ROBO FAINALI

BEKI mwenye uwezo wa kupandisha na kulinda lango la Simba, Shomari Kapombe ameweka wazi kuwa watapambana kufikia malengo ya kutinga hatua ya robo fainali. Simba ikiwa imecheza mechi nne za hatua ya makundi, Kapombe ameanza zote kikosi cha kwanza huku akishuhudia timu hiyo ikifungwa mabao manne na wao wakifunga mabao mawili. Mchezo wao dhidi ya…

Read More