MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
Rodgers Kola amepachika bao mbele ya Mbeya Kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Sokoine. Bao hilo la ushindi amelipachika kimiani dakika ya 44 katika kipindi cha kwanza. Jitihada za Mbeya Kwanza kuweza kuweka mzani sawa ziligonga mwamba katika dakika 45 za kipindi cha kwanza. Hata kipindi cha pili mambo yalikuwa magumu…
KIUNGO Mshambuliaji wa Simba, Bernard Morrison, amefunguka kuwa, hana shida na kuanzia benchi ndani ya kikosi hicho, kwani ni jambo la kawaida kwenye timu yoyote kubwa na wajibu wake kama mchezaji ni kuhakikisha anaongeza jitihada kumshawishi kocha kumpa nafasi. Tangu kiungo raia wa Senegal, Pape Sakho aanze kuuwasha moto ndani ya Simba, Morrison ameonekana kupata…
MSHAMBULIAJI wa kimataifa kutoka Poland ambaye anakipiga Bayern Munich, Robert Lewandowski ameshinda tuzo ya FIFA ya Mchezaji Bora wa mwaka 2021. Lewandowski, 33, ametwaa tuzo hiyo ikiwa ni mara ya pili mfululizo ambapo katika kipindi hicho ametupia bao 69 akimshinda Lionel Messi na Mohamed Salah wa Liverpool. Pia mshambuliaji wa Manchester United Cristiano Ronaldo yeye…
KOCHA wa Simba, Pablo Franco amesema kuwa kwa upande wako anaona Azam FC wanayo nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa kwa siku za mbeleni kutokana na kikosi chao kuimarika kila siku. Pablo amesema amekutana na Azam FC kwenye mechi mbili kwa siku za hivi karibuni na ameona kuna utofauti mkubwa kwenye mechi ya kwanza na ya pili ambayo wamecheza na anaona kabisa timu ina ari ya…
LEO Januari 18 kutakuwa na mchezo mmoja wa Ligi Kuu Bara ambapo Mbeya Kwanza itawakaribisha Azam FC kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sokoine. Itakuwa ni saa 10:00 jioni, ambapo uwanja huo jana ulitumika kwa Mbeya City kuweza kuitungua Simba bao 1-0 ambalo lilifungwa na Paul Nonga dakika ya 19. Mbeya Kwanza iliyo nafasi ya…
CHICO Ushindi kiungo mpya ndani ya kikosi cha Yanga ameweka wazi kwamba hesabu kubwa baada ya kuwa ni mali ya Yanga ni kuweza kuipa ushindi timu hiyo kwenye mechi ambazo watacheza. Ushindi ni moja ya usajili mpya kwenye dirisha dogo na alitambulishwa Tanga, Uwanja wa Mkwakwani wakati ubao uliposoma Coastal Union 0-2 Yanga. Kiungo huyo…
Wakati baadhi ya mataifa yakiwa yamejihakikishia kucheza Hatua ya 16 Bora, baadhi yao bado hali ni tete. EPL na nusu fainali ya EFL Cup pia inaendelea wiki hii kule Uingereza. Meridianbet tumekuwekea Odds Bora kwa namna hii; Hatma ya Senegal na Malawi itajulikana leo usiku watakapochuana kwenye mchezo wa mwisho wa kundi B. Nani…
USHINDANI kwenye ligi unazidi kushika kasi kila iitwapo leo hilo ni jambo jema kwa kuwa ili ligi iwe bora na imara ni muhimu ushindani uwepo. Pia tumetoka kumaliza suala la masuala ya usajili hasa ilikuwa ni dirisha dongo ambalo lilikuwa ni maalumu kwa ajili ya maboresho kwenye timu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara, Championship, Ligi ya…
THABIT Kandoro, Mkurugenzi wa Mashindano ndani ya kikosi cha Yanga ameweka wana kikosi imara cha kazi ambacho kitawapa mafanikio kwa muda mrefu. Yanga ipo nafasi ya kwanza kwenye msimamo ikiwa na pointi 32 baada ya kucheza mechi 12 imetoka kushinda mabao 2-0 dhidi ya Coastal Union. Akizungumza na Saleh Jembe, Kandoro amesema kuwa kikosi chao…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, ameweka wazi kuwa hataki kuona nyota wake wakifanya makosa ya kupoteza nafasi yao ya kushinda ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu na kuwataka kuhakikisha wanacheza kila mchezo ulio mbele yao kama fainali. Yanga ambao ni vinara wa msimamo wa Ligi Kuu Bara, hawakuwa na matokeo mazuri katika mashindano…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne jipatie ñakala yako 500 tu
UWANJA wa Sokoine, Mbeya City wameinyoosha Simba kwa bao 1-0 lililopachikwa na Paul Nonga mapema kipindi cha kwanza. Haikuwa rahisi kwa Simba kuweza kumtungua kipa namba moja wa Mbeya City, Deogratius Munish ambaye alikuwa kwenye ubora wake mwanzo mwisho. Huu unakuwa ni mchezo wa kwanza kwa Simba kupoteza ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu…
MPAKA muda wa mapumziko, Uwanja wa Sokoine Simba wanatafuta bao la kusawazisha. Ni Paul Nonga amepachika bao la kuongoza kwa Mbeya City akitumia makosa ya mabeki wa Simba chini ya Inonga Banka. Lakinj Mbeya City wamekamilisha dakika 45 wakiwa pungufu kwa sababu nyota wao Mpoki Mwakinyuke alionyeshwa kadi nyekundu dakika ya 43. Sababu ya kwanza…
Kikosi cha Simba kinachonolewa na Pablo Franco kitakachoanza dhidi ya Mbeya City Uwanja wa Sokoine.
LEO Januari 17 imepangwa droo ya Azam Sports Federation Cup, (ASFC) ikiwa ni hatua ya 32 bora kwenye mashindano haya. Simba ambao ni mabingwa watetezi waakuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya Dar City kwenye mchezo unaoatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Yanga wao watacheza na Mbao FC mchezo huo nao utachezwa pia Uwanja wa…