
SIMULIZI YA ISHU YA SHAMBA KUWA KWENYE MGOGORO
SIMULIZI ya shamba ambalo lilikuwa kwenye mgogoro Jina langu ni Waithera kutoka katika kaunti ya Nairobi. Tulimiliki shamba katika mtaa wa kifahari wa Runda ambapo shamba hilo lilikuwa takriban ekari kumi. Mimi pamoja na mume wangu tulikuwa na hati miliki ya shamba lile na hata tulikuwa tumejenga nyumba za kokodi katika shamba hilo. Muda ulivyosonga,…