MTIBWA SUGAR WANAHITAJI MAOMBI

UONGOZI wa Mtibwa Sugar umeweka wazi kuwa kwa sasa unahitaji maombi ya Watanzania ili waweze kurejea kwenye ubora wakiwa uwanjani. Kwenye msimamo Mtibwa Sugar ikiwa imecheza jumla ya mechi saba imekusanya pointi mbili pekee jambo ambalo linawapa tabu mashabiki na mabosi wa timu hiyo. Haijaambulia ladha ya ushindi mpaka wakati huu ambapo ipo nafasi ya…

Read More

MAKAMBO APIGA HESABU HIZI KUELEKEA DESEMBA 11

  HERITIER Makambo, mshambuliaji wa Yanga ameweka wazi kuwa ikiwa atapata nafasi ya kuanza kwenye mchezo wa Kariakoo, Dabi Desemba 11 mbele ya Simba atapambana kwa kushirikiana na wachezaji wenzake ili kupata ushindi. Hesabu hizo ndefu za Makambo zinakuja ikiwa zimebaki siku tano kabla ya mchezo huo kuchezwa Uwanja wa Mkapa ambapo Yanga imekuwa kwenye…

Read More

LIVERPOOL ETI BILA ORIGI HAKUNA MPIRA

BAADA ya kupachika bao la ushindi katika mchezo wa Ligi Kuu England dakika za lala salama, Divock Origi, mabosi wa timu hiyo wameweka wazi kuwa mpira bila nyota huyo bado haujakamilika. Orogi alipachika bao hilo dakika ya 90+4 mbele ya Wolves akitumia pasi ya mshambuliaji Mohamed Salah raia wa Misri akiwa ndani ya 18 kwa…

Read More

PABLO AGOMEA KUPANGIWA KIKOSI

KATIKA kuelekea Kariakoo Dabi, Kocha Mkuu wa Simba, Mhispania, Franco Pablo, ameuambia uongozi wa timu hiyo kuwa hatampanga mchezaji kwa kuangalia historia pekee. Dabi hiyo itakayowakutanisha Simba dhidi ya Yanga, inatarajiwa kupigwa Desemba 11, mwaka huu kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam. Pablo alijiunga na timu hiyo hivi karibuni akichukua nafasi ya Mfaransa, Didier Gomes.Taarifa…

Read More

SIMBA HAITAKI KUTESEKA

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa hataki kuteseka kwa kupoteza kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Red Arrows ya Zambia ambao ni wa marudio. Mchezo huo wa Kombe la Shirikisho unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ambapo mshindi wa jumla atatinga hatua ya makundi. Simba inakumbuka kwamba mchezo wa kwanza ilishinda mabao 3-0 Uwanja…

Read More

DAU LA HAALAND LAFICHWA

DAU la nyota kikosi cha Borussia Dortmund, Erling Haaland ambaye anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Real Madrid limefichwa kwa wakati huu. Ripoti zinaeleza kuwa Haaland mpaka sasa bado hajafanya maamuzi ya wapi atakuwa kwa ajili ya kupata changamoto mpya licha ya timu nyingi kutajwa kuwania saini yake ili kuweza kumpata mshambuliaji huyo Mabosi…

Read More

MKATABA WA GSM NA TFF UNACHUNGUZWA

TUME ya Ushindani wa Biashara (FCC) imesema imepokea malalamiko kutoka kwa wadau wa mpira wakiitaka kuchunguza udhamini uliofanywa na kampuni ya GSM kwa Ligi Kuu ya NBC kama hautaathiri ushindani wa soka nchini.   Wadau hao wamewasilisha malalamiko yao kwa maandishi ndani ya tume hiyo Jumatatu ya Novemba 29, 2021 wiki hii kwa mujibu wa…

Read More

SIMBA KIMATAIFA INA KAZI KUBWA

WAMESHINDA katika hilo nakubali walicheza mchezo wao kwa kujituma na nyota wao akiwa ni Bernard Morrison hapo kuna jambo linapaswa kufanyiwa kazi. Kwa wale wanaopenda mpira wanajua maana ya kucheza kama timu na kucheza kwa mchezaji mmoja hapo kwa wawakilishi wetu Simba kimataifa lazima washtuke. Mchezo wao ujao dhidi ya Red Arrows sio wa kitoto…

Read More

ISHU YA USAJILI AZAM FC IPO HIVI

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa masuala yote yanayohusu usajili yapo mikononi mwa benchi la ufundi hivyo wao wakitoa ripoti uongozi unafanya kazi ya kuwaleta wachezaji hao. Kwa msimu wa 2021/22 mabosi wa Azam FC wameshudia timu hiyo ikiwa kwenye mwendo wa kusuasa baada ya kucheza mechi sita imekusanya pointi saba na safu ya…

Read More

MATAIFA MANNE YAIMALIZA RED ARROWS

MATAIFA manne yalitosha kuwatuliza Wazambia kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao uliposoma Simba 3-0 Red Arrows. Ni Bernard Morrison kutoka Ghana aliweza kuwapa tabu Wazambia kwa kuwa alihusika kwenye mabao yote matatu, alifunga mawili na kutoa pasi moja ya bao. Meddie Kagere raia wa Rwanda aliweza kufunga bao moja kwa…

Read More