YANGA, AZAM ZAINGILIA USAJILI WA SIMBA

  WAKATI Simba SC ikitajwa kuwa karibu zaidi kuipata saini ya mshambuliaji wa Zanaco FC, Moses Phiri, imeelezwa kuwa Yanga na Azam zimeingilia dili hilo. Mshambuliaji huyo ambaye aliwatesa Yanga katika mchezo wa kirafiki katika kilele cha Wiki ya Mwananchi, ameonekana kuwa lulu kwa timu mbalimbali hapa nchini.   Hivi karibuni, ilielezwa kwamba, Phiri usajili…

Read More

AZAM YAZITAKA POINTI TATU ZA KAGERA SUGAR

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa kwa sasa hesabu zao kubwa ni kuelekea katika mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar. Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina inatarajiwa kumenyana na Kagera Sugar, Desemba 12. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku na utakuwa mubashara Azam…

Read More

SIMBA YAIVUTIA KASI YANGA ZAMBIA

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao unatarajiwa kuwakutanisha mabingwa watetezi  Simba pamoja na Yanga, Desemba 11, mbinu za Pablo Franco zimeanza kutumika nchini Zambia. Simba ilikuwa huko kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho uliochezwa Jumapili ya Desemba 5 na baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Heroes ulisoma Red Arrows…

Read More

KIBOKO YA JOHN BOCCO YUPO TAYARI YANGA

DICKSON Job, beki wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi yupo kamili gado kwa ajili ya kuwavaa Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Desemba 11, Uwanja wa Mkapa. Job anakumbukwa na mshambuliaji bora wa msimu wa 2020/21 John Bocco aliyefunga mabao 16 kwa namna alivyoweza kumdhibiti…

Read More

MBEYA CITY YAICHAPA DODOMA JIJI 2-0

MBEYA City leo imeichapa mabao 2-0 Dodoma Jiji kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Ni mabao ya Hussein Masalanga dakika ya 42 liliweza kuwafanya Dodoma Jiji kuduwaa kwa muda wakiwa hawajaweza kufunga bao la kuweka mzani sawa. Dakika 45 za kipindi cha pili huko mambo yalizidi kuwa magumu kwa Dodoma…

Read More

DUH!KUMBE KUNA TIMU IMEFUNGWA NA YANGA MABAO 800

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapinzani wao,(Simba) ni timu pekee ambayo imefungwa mabao mengi na Yanga jambo ambalo haliwapi presha kuelekea mchezo wao. Desemba 11, Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco. Manara ameliambia Championi Jumatatu kuwa ukitafuta timu ambayo imefungwa mabao…

Read More

WACHEZAJI HAWA NI MWENDO WA NGUVU KUBWA UWANJANI

MALENGO yanahitaji nguvu kuyafikia lakini ni lazima na akili pia itumike kwani ikiwa itatumika nguvu nyingi hasara huwa ni kubwa kuliko faida. Kwa sasa Ligi Kuu Bara baada ya kuanza kuridima tumeanza kushuhudia vitendo vya matumizi ya nguvu nyingi uwanjani jambo ambalo limekuwa likiwafanya wachezaji wengine kushindwa kuendelea na majukumu yao. Haina maana kwamba nguvu…

Read More

AZAM FC YAZIPIGIA HESABU POINTI ZA KAGERA SUGAR

WAKATI Desemba 9,2021 huu Azam FC ikitarajiwa kuwa mwenyeji wa Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Azam Complex Dar,nyota wa kikosi hicho kwenye upande wa utupiaji ameweka wazi kuwa wanahitaji pointi tatu muhimu. Idriss Mbombo,yeye ni mshambuliaji amesema amejipanga kuwamaliza Kagera Sugar kwenye mchezo huo ili kuipa timu yake alama…

Read More

MANCHESTER UNITED WANATAMBA KITAA KWA USHINDI

Mashabiki wa Manchester United bado wanatamba kitaa kwa ushindi ambao wameupata katika mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Crystal Palace. Ushindi wa bao 1-0 unawafanya watambe kwa fujo baada ya kusepa na pointi tatu muhimu Uwanja wa Old Trafford. Bao pekee la ushindi lilipachikwa dakika ya 77 kupitia kwa Fred na kuilaza jumlajumla Crystal…

Read More

YANGA YAMALIZA WIKI KWA BATA

VINARA wa Ligi Kuu Bara, Yanga walimaliza wiki kwa bata kabla ya leo kuanza kuivutia kasi Simba. Timu hiyi ambayo imekuwa katika mwendo kasi ipo na pointi zake 19 baada ya kucheza mechi 7, imeshinda sita na kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Namungo FC. Desemba 5 wakati Simba ilipokuwa na kibarua cha…

Read More

SIMBA YAFUZU HATUA YA MAKUNDI, DILUNGA ATUPIA

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franc leo Desemba 5 kimefanikiwa kuandika historia mpya kwenye Kombe la Shirikisho baada ya kuweza kufuzu hatua ya makundi. Kwenye mchezo wa leo uliochezwa Uwanja wa Heroes,Zambia dakika 90 zimekamilika kwa ubao kusoma Red Arrows 2-1 Simba ambapo bao la Simba lilipachikwa na kiungo mzawa Hassan Dilunga….

Read More