
SALAH AWASHA MOTO HUKO ATUPIA MBILI
LICHA ya Mohamed Salah, raia wa Misri kukosa tuzo ya Ballon d’Or iliyokwenda kwa Lionel Messi raia wa Argentina anayekipiga ndani ya PSG,nyota huyo nali ya Liverpool ameendelea kukiwasha. Katika mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Everton alichaguliwa kuwa nyota wa mchezo baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa mabao 4-1. Mabao ya…