
LUKAKU ANAFIKIRIA KURUDI INTER MILAN
MSHAMBULIAJI wa Chelsea, Romelu Lukaku ameweka wazi kuwa kwa sasa hana furaha ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Thomas Tuchel. Jambo hilo ni kubwa na gumu kwa kuwa linaweza kuvuruga mwendo wa kikosi hicho kwa msimu wa 2021/22. Nyota huyo ameweka wazi kwamba anahitaji kuweza kurejea Inter Milan ili akaendelee na maisha yake…