
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
WATOTO wa Mbeya Kwanza leo Novemba 30 hawakuwa na chaguo mbele ya Yanga baada ya kupoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Sokoine. NBC Premeir Leageu inazidi kuwa ni moto wa kuotea mbali kwa kuwa kila timu inapambana kusaka pointi tatu muhimu jambo ambalo limefanya…
NI Linkee, kampuni mpya ya teknolojia inayounganisha madereva na abiria, inatangaza tarehe rasmi ya uzinduzi wa huduma yake jijini Dar es Salaam. Kampuni inawaalika abiria na madereva wote wa ndani kujisajili kwenye Programu ya simu mahiri ya Linkee na kuanza kufurahia manufaa ya kusafiri kwa bei nzuri, kunyumbulika na kwa udhibiti kamili. Dar es Salaam…
WAKIWA Uwanja wa Sokoine Mbeya vinara wa Ligi Kuu Bara, Yanga wanauliza eti :’Nyie Hamuogopi’ baada ya kwenda mapumziko wakiwa vifua mbele. Dakika 45 zimekamilika na ubao wa Uwanja wa Sokoine unasoma Mbeya Kwanza 0-2 Yanga. Kipindi cha kwanza Yanga wametawala mchezo ambapo wamefunga mabao mapema kabisa ndani ya dakika 20 za awali. Ilikuwa ni…
LEO Novemba 30 Yanga itakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Mbeya Kwanza mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Sokoine. Kikosi kinachoanza kipo namna hii:- Diarra Djigui Shaban Djuma David Bryason Bakari Mwamnyeto Dickson Job Tonombe Mokoko Mauya Zawad Kaseke Deus Mayele Fiston Feisal Salum Saido Ntibanzokiza
KAMPUNI ya michezo na burudani ya SportPesa leo Novemba 30 imetoa vifaa vya michezo vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 20 kwa timu ya Bunge ambayo inatarajia kushiriki mashindano ya mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki mkoani Arusha. Makabidhiano hayo yamefanyika katika ukumbi wa habari ofisi za Bunge kabla ya kuanza…
KOCHA mkuu wa Simba, Pablo Franco ameweka wazi kuwa anataka kuona kila mchezaji wa timu hiyo anapambana kuhakikisha anafanya bidii mazoezini kila anapopewa nafasi kwa kuwa amepanga kumpa kila mchezaji nafasi ya kucheza. Pablo Jumapili aliiongoza Simba kwenye Uwanja wa Mkapa Dar es Salaam, kwenye mchezo wao wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika…
KLABU ya Manchester United imemtangaza Ralf Rangnick kuwa kocha wa muda wa kikosi hicho mpaka mwishoni mwa msimu huu wa 2021/22 akichukua nafsi ya kocha Ole Gunnar Solskjaer aliyefutwa kazi wiki iliyopita. Rangnick atasalia Manchester United pindi mkataba wake wa miezi 6 kama kocha wa muda utakapo salia lakini atakuwa na jukumu la kuwa mshauri…
NOVEMBA 30 raundi ya 7 inazidi kukatika taratibu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2021/22. Baadhi ya mechi zimechezwa na tumeshuhudia hat trick ya kwanza ikipigwa Uwanja wa Nelson Mandela, wakati Tanzania Prisons ilipocjeza na Namungo FC. Leo ratiba inaendelea ambapo itakuwa namna hii:- Biashara United ya Mara dhidi ya Polisi Tanzania…
WACHEZAJI wanaomba kucheza Simba MTENDAJI Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez ameweka wazi kuwa wachezaji wengi wanaomba kucheza ndani ya kikosi cha timu hiyo. Kwa sasa Simba ni timu pekee ambayo inakibarua cha kupeperusha bendera kimataifa ikiwa inashiriki Kombe la Shirikisho baada ya kuondolewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo wake wa kwanza katika Kombe la…
IMEELEZWA kuwa mshambuliaji namba moja ndani ya kikosi cha Mbeya Kwanza, Chrispin Ngush jina lake limependekezwa na Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi aweze kusajiliwa. Inatajwa kwamba kamati ya Usajili ya Yanga nayo pia haijapinga hoja hiyo na badala yake imeweka watu maalumu kwa ajili ya kumfuatilia nyota huyo Ngushi ni kinara wa mabao…
WAKATI Lionel Messi staa anayekipiga ndani ya PSG akitwaa tuzo yake ya Ballon d’Or ya 7 kwa upande wa Wanawake ni Alexia Putellas ametwaa tuzo hiyo. Alexia ni nahodha wa Klabu ya Barcelona upande wa Wanawake ambapo amesema kuwa katika hilo anajiskia furaha kubwa sana. Messi amempiku kwa mara nyingine tena mshikaji wake wa karibu,…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
PATRICK Viera, Kocha Mkuu wa Crystal Palace alikuwa na wakati mgumu baada ya kunyooshwa kwa mara ya kwanza ndani ya Ligi Kuu England ikiwa ni baada ya kucheza mechi saba bila kufungwa. Ilikuwa ni Novemba 27 ambapo alishuhudia Uwanja wa Selhurst Park ukisoma Crystal Palace 1-2 Aston Villa ambayo inanolewa na Steven Gerrad. Vieira amekuwa…
IKIWA zimebaki siku 12 za watani wa jadi Simba na Yanga kukutana Uwanja wa Mkapa habari njema kwa mashabiki wa Yanga ni kwamba aliyemtungua Aishi Manula bao kali akiwa nje ya 18 amerejea tayari katika ubora wake. Ni Mapinduzi Balama alifanya hivyo Januari 4,2020 Uwanja wa Mkapa alipofunga bao hilo kwa shuti kali na katika…
BAADA ya Simba jana Novemba 28 kushinda mabao 3-0 dhidi ya Red Arrows huku nyota wa mchezo akiwa ni Bernard Morrison kuna ujumbe kutoka twiter ulisambaa kwa kasi kubwa. Ujumbe huo ulionekana kuandikwa kwa jina la Masau Bwire ambaye ni Ofisa Habari wa Ruvu Shooting ambapo alionekana kuwapa pongezi Simba kwa ushindi huku akimpongeza mchezaji…
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa tayari umemlipa kiungo wao zamani Mghana, Bernard Morrison faini ya Sh12Mil kutoka Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo ‘CAS’ huku ukiwataka mashabiki wa timu hiyo kupotezea majibu ya hukumu hiyo. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu CAS itangaze hukumu ya Morisson na Yanga ambayo ilishindwa huku ikitakiwa kumlipa kitita cha Swis 5,000 (Sh12,396,787). Katika hukumu hiyo iliyokuwa na kurasa 29 imeeleza kuwa ushahidi uliotolewa na…