Home Sports RATIBA YA MECHI ZA LIGI KUU BARA

RATIBA YA MECHI ZA LIGI KUU BARA

BODI ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB) imepanga na kutangaza tarehe za mechi ambazo awali zilikuwa hazijapangiwa tarehe zake na imeweka wazi kwamba itaendelea kuzipangia tarehe mechi zote ambazo kwenye ratiba iliyoanza lakini hazikupangiwa tarehe.

Ratiba ipo hivi:-

Aprili 23,2022

Yanga v Namungo FC, Uwanja wa Mkapa saa 1:00 usiku

Mei 5,2022

Biashara United v Dodoma Jiji, Uwanja wa Nyamagana, Mwanza saa 10:00 jioni

Mei 7,2022

Azam FC v KMC, Azam Complex, saa 1:00 usiku.

Previous articleMUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI
Next articleMAYELE ALIKUWA KWENYE HESABU ZA SIMBA