
GOMES IMANI YAKE NI KWA SIMBA KUSHINDA
DIDIER Gomes, aliwahi kuwa kocha mkuu wa Simba ameweka wazi kuwa kwa namna kikosi hicho kilivyo kinaweza kupata ushindi mbele ya Red Arrows katika mchezo wa Kombe la Shirikisho. Leo Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco itakuwa na kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo wa mtoano ambao utashuhudiwa na mashabiki 35,000. Gomes amesema kuwa…