
SABABU ZA BARBRA KUPIGWA STOP KUITAZAMA SIMBA V YANGA HIZI HAPA
WAKATI jana Desemba 11, Uwanja wa Mkapa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba v Yanga ukipigwa jukwaani hakuwepo kabisa Mtendaji Mkuu wa Simba,Barbara Gonzalez ambaye inatajwa kwamba alizuiwa kuweza kuutazama mchezo huo. Ikumbukwe kwamba Barbara alitumia mitandao yake ya kijamii kuzungumza na mashabiki wa Simba kwa kuwambia kwamba alifika Uwanja wa Mkapa na…