WINGA MANE ATAJWA KUIBUKIA BAYERN MUNICH
STAA wa Liverpool, Sadio Mane ametangaza kuondoka ndani ya kikosi hicho msimu ujao wa 2023/24 hivyo hatakuwa miongoni mwa wale ambao watashiriki Ligi Kuu England akiwa na timu hiyo. Nyota huyo ambaye ni kiungo raia wa Senegal anatajwa kutua ndani ya kikosi cha Bayern Munich. Nyota huyo alitoa maamuzi yake ya kuondoka ndani ya Liverpool…