
TIMU MBALIMBALI KUENDELEA KUTIFUANA WIKIENDI HII, NANI NI NANI?
Bundesliga, Serie A na EPL kunogesha wikiendi yako. Wakati baadhi ya vilabu vya EPL vikihaha na maambukizi ya Omicron Variant, nchi zingine mambo yanaendelea kama kawaida, kwa kuzingatia tahadhari dhidi ya COVID-19. Wikiendi inakwenda namna hii; Bayern Munichen watakuwa pale Allianz Stadium kuwaalika Wolfsburg Ijumaa hii. Huu ni mchezo ambao unazikutanisha timu mbili zenye…