
SIMBA WAKWEA PIPA KUWAFUATA ASEC
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa Simba leo Machi 18 wamekwea pipa kuwafuata wapinzani wao RS Berkane kwa ajili ya mchezo wao wa Kombe la Shirikisho. Ni leo alfajiri kimeanza safari kwa ajili ya kwenda Benin kuikabili ASEC Mimosas ikiwa ni mchezo wa marudiano ambao unatarajiwa kuchezwa Jumapili, Machi 20,2022. Simba itafikia Hotel ya…