ISHU YA YANGA KUBADILI NEMBO YA MDHAMINI YATOLEWA UFAFANUZI
MKURUGENZI wa Bodi ya Ligi, Almasi Kasongo ametoa ufafanuzi kuhusu baadhi ya vilabu vya soka nchini kubadili nembo za wadhamini kwenye jezi zao. Nembo ya mdhamini wa Ligi Kuu Bara NBC ina rangi nyekundu jambo ambalo halikubaliki kwa Yanga kwa mujibu wa katiba yao jambo ambalo limepelekea wao kubadilishiwa nembo na kuvaa twiga mwenye rangi…