AZIZ KI ATAJWA KUMALIZANA NA MABOSI MSIMBAZI
KIUNGO mshambuliaji wa Asec Mimosas ya nchini Ivory Coast, Stephane Aziz Ki anatajwa kumalizana na mabosi wa Simba kwa dili la miaka miwili. Nyota huyo anatajwa kuingia kwenye rada za watani wa jadi wa Simba ambao ni Yanga waliokuwa kwenye mazungumzo naye. Dili ambalo Yanga walitajwa kumpa ilikuwa ni miaka mitatu na kilichokuwa kimebaki ni…