NYOTA MWINGINE YANGA SC KUSEPA

BAADA ya kiungo mshambuliaji wa Yanga SC Aziz Ki taarifa kueleza kuwa anaondoka ndani ya kikosi hicho kuelekea Wydad inaelezwa kuwa kuna nyota mwingine tena anaondoka katika kikosi hicho. Aziz Ki amekuwa kwenye mwendo mzuri ndani ya Yanga SC akiwa kacheza jumla ya mechi 114 na kutoa pasi 57 za mabao huku akifunga jumla ya…

Read More

AZIZ KI REKODI ZAKE BONGO BALAA

AZIZ Ki kiungo mshambuliaji wa Yanga SC rekodi zake ndani ya timu hiyo ni balaa kutokana na kuwa miongoni mwa nyota waliotoa pasi nyingi za mabao kwenye mechi za ushindani akiwa na jezi namba 10. Ki ndani ya kikosi cha Yanga SC rekodi zinaonyesha kuwa ni mechi 114 alicheza akitoa jumla ya pasi 57 na…

Read More

SINGIDA BLACK STARS HESABU ZAKE KWA SIMBA SC

UONGOZI wa Singida Black Stars umeweka wazi kuwa kwa sasa hesabu zao zote ni kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba SC ambao ni mzunguko wa pili. Singida Black Stars kwenye msimamo wa ligi ipo nafasi ya nne ikiwa imekusanya jumla ya pointi 53 inatarajiwa kumenyana na Simba SC iliyo nafasi ya…

Read More

MERIDIANBET YALETA FARAJA NA MSAADA MAKUMBUSHO NA MWANANYAMALA KWA FAMILIA ZENYE HIBA

Katika hatua nyingine ya kuonyesha moyo wa kusaidia jamii, Meridianbet imefika maeneo ya Makumbusho na Mwananyamala kwa ziara ya kurudisha kwa jamii, kwa lengo la kuwahamasisha na kuwasaidia familia mbalimbali zilizo katika mazingira magumu. Kampuni hii inayoongoza kwenye ubashiri mtandaoni imeendelea kutekeleza ahadi yake ya kurudisha kidogo kwa jamii kwa kuwapatia msaada wa vyakula na…

Read More

HII HAPA ORODHA YA WAKALI WA KUCHEKA NYAVU

WACHEZAJI ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora wanapambana katika kutimiza majukumu yao ndani ya uwanja msimu wa 2024/25. Kwenye eneo la ufungaji kuna wakali katika kucheka na nyavu hapa tunakuletea orodha yao namna hii:- Jean Ahoua-15 Jean Ahoua  kiungo mshambuliaji wa Simba SC yeye ni namba moja akiwa katupia…

Read More

ANAONDOKA YANGA SC KIUNGO WA KAZI AZIZ KI

INAELEZWA kuwa kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Aziz Ki anasepa mazima ndani ya kikosi hicho baada ya kupata ofa kutoka Wydad ambayo inahitaji huduma yake. Taarifa zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa kiungo huyo akaondoka mapema kujiunga na timu mpya kwa ajili ya changamoto mpya. Ki…

Read More

SIMBA HAWAJAKATA TAMAA KIMATAIFA, KAZI INAENDELEA

SHOMARI Kapombe, nahodha msaidizi wa Simba SC na beki wa kikosi hicho ameweka wazi kuwa wanatambua wamepoteza mchezo wa kwanza wa hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane lakini watapambana kupata matokeo mchezo wa pili. Ikumbukwe kwamba Mei 17 2025 kwenye mchezo wa hatua ya fainali ya kwanza uliochezwa nchini Morocco…

Read More

GATES OF OLIMPIA SASA NDANI YA MERIDIANBET – JIANDIKISHE KWENYE HISTORIA YA WASHINDI

Meridianbet imezindua mchezo mpya wa sloti ambao kila mchezaji lazima aujaribu! Karibu kwenye GATES OF OLIMPIA, sloti ya kusisimua kutoka Expanse Studios, ambapo kila mzunguko wa reels unafungua lango la bahati, zawadi, na utukufu wa kipekee. Mchezo huu ni mzigo kamili kwa mashabiki wa sloti, wale wanaopenda ushindi wa haraka, na watu wanaotafuta njia rahisi…

Read More

YANGA YATINGA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Miloud Hamdi wamekata tiketi ya kutinga hatua ya fainali. Katika mchezo wa nusu fainali CRDB Federation Cup iliyochezwa Mei 18 2025 ubao umesoma 2-0 JKT Tanzania Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Mabao ya Prince Dube dakika ya 41 kwa makosa ya safu ya ulinzi…

Read More

WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA MABORESHO YANAYOENDELEA KWA MKAPA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa Mei 17, 2025 amekagua ukarabati wa uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam ikiwa ni muendelezo wa ziara zake za kukagua maboresho ya viwanja kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ya AFCON na CHAN yanayotarajiwa kufanyika nchini hivi karibuni. Akiwa uwanjani hapo, Majaliwa ambaye aliambatana na Waziri wa Habari, Utamaduni,…

Read More

BUNDESLIGA NA LIGUE 1 KUMALIZA MSIMU KWA KISHINDO – BONYEZA HAPA KUPATA MKWANJA

Wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet kuelekea kumalizika kwa ligi mbalimbali wanakupatia Odds za kibabe kabisa ambazo zitakufanya utambe mjini leo. Unasubiri nini sasa kusuka jamvi lako hapa? BUNDESLIGA kule Ujerumani kumalizika leo ambapo RB Leipzig ataumana dhidi ya VFB Stuttgart ambapo tofauti yao ni pointi 4 pekee. Mara ya mwisho kukutana RB alipigika hivyo leo…

Read More