Aziz K Amwandikia Hamisa Mobetto Ujumbe Mrefu wa Upendo Akiadhimisha Miaka 30
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, msanii na mfanyabiashara Aziz K amemtumia mke wake, Hamisa Mobetto,…
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, msanii na mfanyabiashara Aziz K amemtumia mke wake, Hamisa Mobetto, ujumbe maalum wa pongezi katika siku yake ya kuzaliwa. Hamisa Mobetto amefikisha umri wa miaka 30 leo, Desemba 10, 2025, na kwa mnasaba huo, Aziz K ameandika ujumbe mrefu uliojaa shukrani, upendo na pongezi kwa mwanadada huyo. Katika ujumbe wake,…
Je unaweza ukabadilisha maisha yako kwa kubashiri mechi za UEFA ndani ya Meridianbet leo?. Ni rahisi sana ingia kwenye akaunti yako na uweke dau lako ambalo unalipenda ili utimize ndoto zako leo. Mechi kubwa ni hii ya Real Madrid vs Manchester City katika dimba la Santiago Bernabeu huku mechi ya mwisho kukutana, Real waliondoka na…
Bayern Munich imeonyesha ubabe katika dimba la Allianz Arena baada ya kutoka nyuma 1-0 na kuibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Sporting Lisbon kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya. Kichekesho kilitokea dakika ya 54 baada ya Joshua Kimmich kujifunga na kuwapa Sporting uongozi, lakini Bayern ikarejea mchezoni kwa nguvu na kufunga mabao matatu…
Usiku wa jana umeshuhudia matokeo tofauti katika michezo ya Ulaya, huku Chelsea ikipoteza ugenini, Liverpool ikiwahi dakika za mwisho, na Barcelona ikitoa burudani ya kupindua meza. Atalanta 2-1 Chelsea Chelsea imekubali kipigo cha 2-1 dhidi ya Atalanta kwenye mchezo uliochezwa ugenini.Matokeo: ⚽ 55’ Gianluca Scamacca (Atalanta) ⚽ 83’ Charles De Ketelaere (Atalanta) ⚽ 26’ Pedro…
Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Miguel Gamond ametaja kikosi cha wachezaji 28 kitakachopeperusha bendera ya Tanzania kwenye michuano wa kombe la Mataifa Afrika AFCON 2025 huko Morocco ambapo Stars ipo Kundi C, sambamba na Uganda, The Cranes, Nigeria na Tunisia Nahodha wa Stars, Mbwana Samatta, Simon Msuva, Kibu Dennis na…
Unataka burudani ya haraka yenye msisimko wa papo hapo? Meridianbet inakuleta Win&Go, mchezo wa namba na bahati nasibu ambao unapima msukumo wako wa bahati kila dakika tano. Hapa, kila droo ni nafasi ya kushinda na kila sekunde ni fursa ya kufurahia ushindi, bila kujali umeanza au umezoea kubashiri. Win&Go inakuletea mtindo wa kisasa wa michezo…
Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo hapa na ubashiri leo. Lakini pia unaweza ukaibuka bingwa kwani machaguo ni mengi hapa. Italia kutakuwa na mechi ya kukata Inter Milan vs Liverpool ambao hivi karibuni wamekuwa na matokeo ambayo hayaridhishi kabisa kwani kwenye…
Zombie Apocalypse ndani ya Meridianbet ni tukio la aina yake. Mchezo huu mpya umeingia kwa kishindo, ukiwa umebeba nguvu ya kisasa, burudani ya kiwango cha juu na nafasi ambazo kila mchezaji anaziota usiku kucha. Huu si mchezo tu, ni tukio, ni safari, ni jahazi la bahati inalokuita. Kinachoufanya mchezo huu kuwa wa kipekee ni namna…
Mshambuliaji wa Mbeya City, Vitalis Mayanga amefungiwa kucheza mechi tano sambamba na kutozwa faini ya Tsh Milioni 1 kwa kosa la kumpiga kiwiko kwa makusudi beki wa kushoto wa Simba SC, Anthony Mligo. Uamuzi huo umetolewa na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) katika taarifa ya TPLB leo…
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema kuwa hatua ya kuzima mtandao wa intaneti nchini ni chaguo la mwisho kabisa, na kwa sasa hakuna sababu yoyote inayoashiria uwezekano wa TCRA kuchukua hatua hiyo kuelekea maadhimisho ya Uhuru kesho, Desemba 09, 2025. Akizungumza leo, Desemba 08, 2025, Simbachawene amesema kuwa taarifa zinazosambaa mtandaoni…
Leo hii una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu ni rahisi sana kuchukua Samsung A26 yako. Unangoja nini kubashiri sasa? Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa…
Klabu ya Liverpool inaonekana tayari kuanza kupanga maisha bila nyota wao Mohamed Salah, kufuatia taarifa zinazoenea kuhusu uwezekano wa mshambuliaji huyo kuondoka mwezi Januari. Kwa mujibu wa The Express, mabosi wa Liverpool wameweka jina la Antoine Semenyo, mshambuliaji wa Bournemouth mwenye umri wa miaka 25, kama chaguo lao kuu la kumrithi Salah endapo ataondoka. Semenyo,…
Katika ardhi ya michezo ya kubashiri na kasino mtandaoni, kumekuwa na kelele, na chanzo chake ni Aviator wa Meridianbet. Mwezi huu wa Desemba, Meridianbet imeamua kugeuza mchezo huu maarufu kuwa njia mpya ya kupata zawadi kali. Ndiyo, kila mchezaji sasa ana nafasi halisi ya kuibuka na Samsung A26 bure kabisa, ilimradi tu aingie kwenye anga…
Coastal Union 0-1 Yanga SC, NBC Premier League ikiwa ni mchezo wa msimu wa 2025/26 uliokuwa na ushindani mkubwa uwanjani. Zilishuhudiwa dakika45 milango ikiwa ni migumu kwa timu zote mbili katika msako wa pointi tatu muhimu uwanjani. Ni Prince Dube mshambuliaji namba moja wa Yanga SC alifunga bao la ushindi katika dakika za lala salama…
Timu ya Dar City kwa upande wa wanaume na Fox Divas kwa upande wa wanawake zimetwaa ubingwa wa mashindano ya klabu bingwa ya mpira wa kikapu Tanzania (betPawa NBL 2025) yaliyomalizika Jumamosi kwenye uwanja wa Chinangali, mkoani Dodoma. Dar City ilitwaa kombe hilo baada ya kuichakaza Kisasa Heroes kwa pointi 80-51 wakati Fox Divas iliisambaratisha…
Simba SC 0-2 Azam FC ubao umesoma hivyo Uwanja wa Mkapa mara baada ya dakika 90 kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Wababe hawa wawili kwenye Mzizima Dabi kila mmoja alikuwa kwenye hesabu za kusaka ushindi na mwisho matajiri wa Dar, Azam FC wamewatuliza wenyeji wao. Mabao mawili yote yamefungwa kipindi cha pili ikiwa ni…
Leo, Desemba 7, 2025, uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, utakuwa mahali pa moto kwa mashabiki wa soka wakati Simba SC itakapoikaribisha Azam FC katika derby ya Mzizima, majira ya saa 11 jioni. Takwimu za Historia ya Mechi za Mwisho Katika mechi tano za mwisho za Ligi kuu kati ya Simba na Azam: Simba…