
TOTTENHAM WATWAA TAJI LA EUROPA LEAGUE MBELE YA MANCHESTER UNITED
TOTTENHAM chini ya Kocha Mkuu,Gregg Popovich wametwaa taji la Europa League kwa ushindi wa bao…
TOTTENHAM chini ya Kocha Mkuu,Gregg Popovich wametwaa taji la Europa League kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Manchester United kwa bao pekee la Brennan Johnson dakika ya 42 ndani ya Uwanja wa San Mames na timu hiyo itacheza Champions League. Katika mchezo huo wa fainali, rekodi zinaonyesha kuwa shuti ambalo walipiga Spurs lango la…
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Kombe la Shirikisho Afrika, Simba SC hesabu kubwa ni kuona wanapata matokeo kwenye mchezo wa fainali utakaotoa maamuzi ya mshindi wa taji hilo baada ya kete ya kwanza kupigwa ugenini, Mei 17 2025. Hassan Dalali, Mwenyekiti wa zamani wa Simba SC ameweka wazi kuwa malengo makubwa ni…
BAADA ya kiungo mshambuliaji wa Yanga SC Aziz Ki taarifa kueleza kuwa anaondoka ndani ya kikosi hicho kuelekea Wydad inaelezwa kuwa kuna nyota mwingine tena anaondoka katika kikosi hicho. Aziz Ki amekuwa kwenye mwendo mzuri ndani ya Yanga SC akiwa kacheza jumla ya mechi 114 na kutoa pasi 57 za mabao huku akifunga jumla ya…
AZIZ Ki kiungo mshambuliaji wa Yanga SC rekodi zake ndani ya timu hiyo ni balaa kutokana na kuwa miongoni mwa nyota waliotoa pasi nyingi za mabao kwenye mechi za ushindani akiwa na jezi namba 10. Ki ndani ya kikosi cha Yanga SC rekodi zinaonyesha kuwa ni mechi 114 alicheza akitoa jumla ya pasi 57 na…
SIMBA SC wamebainisha kuwa wapo tayari kwa mchezo wa pili wa fainali dhidi ya RS Berkane licha yakupoteza kwenye mchezo wa fainali ya kwanza wakiwa nchini Morocco. Ikumbukwe kwamba Mei 17 2025 kwenye mchezo wa hatua ya fainali ya kwanza baada ya dakika 90 ubao ulisoma RS Berkane 2-0 Simba SC, mchezo wa pili unatarajiwa…
Tunawaletea safari ya kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbet mpya kabisa iliyoathiriwa moja kwa moja na Dola ya Kirumi ya zamani. Mtashuhudia askari ambao ni njia yako ya haraka kuelekea ushindi wa juu. Malipo ya juu kabisa ni mara 5,000 ya dau. Empire Gold Hold and Win ni mchezo wa sloti ya kasino ya mtandaoni kutoka…
UONGOZI wa Singida Black Stars umeweka wazi kuwa kwa sasa hesabu zao zote ni kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba SC ambao ni mzunguko wa pili. Singida Black Stars kwenye msimamo wa ligi ipo nafasi ya nne ikiwa imekusanya jumla ya pointi 53 inatarajiwa kumenyana na Simba SC iliyo nafasi ya…
Katika hatua nyingine ya kuonyesha moyo wa kusaidia jamii, Meridianbet imefika maeneo ya Makumbusho na Mwananyamala kwa ziara ya kurudisha kwa jamii, kwa lengo la kuwahamasisha na kuwasaidia familia mbalimbali zilizo katika mazingira magumu. Kampuni hii inayoongoza kwenye ubashiri mtandaoni imeendelea kutekeleza ahadi yake ya kurudisha kidogo kwa jamii kwa kuwapatia msaada wa vyakula na…
Taarifa za kuaminika ni kuwa maafisa wa CAF wameeleza kuwa wamejiridhisha uwanja wa Benjamin Mkapa upo vizuri kwa michuano ya CHAN 2025 mwezi August ( Kenya ) Pia TFF na Simba SC imeomba review ya kuchezea uwanja huo fainali ya CAFCC baada ya ukaguzi huo wa michuano ya CHAN na CAF wamekubali review hiyo na…
WACHEZAJI ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora wanapambana katika kutimiza majukumu yao ndani ya uwanja msimu wa 2024/25. Kwenye eneo la ufungaji kuna wakali katika kucheka na nyavu hapa tunakuletea orodha yao namna hii:- Jean Ahoua-15 Jean Ahoua kiungo mshambuliaji wa Simba SC yeye ni namba moja akiwa katupia…
INAELEZWA kuwa kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Aziz Ki anasepa mazima ndani ya kikosi hicho baada ya kupata ofa kutoka Wydad ambayo inahitaji huduma yake. Taarifa zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa kiungo huyo akaondoka mapema kujiunga na timu mpya kwa ajili ya changamoto mpya. Ki…
SHOMARI Kapombe, nahodha msaidizi wa Simba SC na beki wa kikosi hicho ameweka wazi kuwa wanatambua wamepoteza mchezo wa kwanza wa hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane lakini watapambana kupata matokeo mchezo wa pili. Ikumbukwe kwamba Mei 17 2025 kwenye mchezo wa hatua ya fainali ya kwanza uliochezwa nchini Morocco…
Meridianbet imezindua mchezo mpya wa sloti ambao kila mchezaji lazima aujaribu! Karibu kwenye GATES OF OLIMPIA, sloti ya kusisimua kutoka Expanse Studios, ambapo kila mzunguko wa reels unafungua lango la bahati, zawadi, na utukufu wa kipekee. Mchezo huu ni mzigo kamili kwa mashabiki wa sloti, wale wanaopenda ushindi wa haraka, na watu wanaotafuta njia rahisi…
MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Miloud Hamdi wamekata tiketi ya kutinga hatua ya fainali. Katika mchezo wa nusu fainali CRDB Federation Cup iliyochezwa Mei 18 2025 ubao umesoma 2-0 JKT Tanzania Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Mabao ya Prince Dube dakika ya 41 kwa makosa ya safu ya ulinzi…
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Profesa Mohammed Janabi leo Mei 18, 2025 ameibuka kidedea katika uchaguzi wa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika. Katika uchaguzi uliofanyika Geneva nchini Uswisi, Janabi alikuwa akichuana na wenzake wanne, Dk. N’da Konan Yao wa Ivory Coast, Dk Drame Lamine wa Guinea, Dk…
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa Mei 17, 2025 amekagua ukarabati wa uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam ikiwa ni muendelezo wa ziara zake za kukagua maboresho ya viwanja kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ya AFCON na CHAN yanayotarajiwa kufanyika nchini hivi karibuni. Akiwa uwanjani hapo, Majaliwa ambaye aliambatana na Waziri wa Habari, Utamaduni,…
Wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet kuelekea kumalizika kwa ligi mbalimbali wanakupatia Odds za kibabe kabisa ambazo zitakufanya utambe mjini leo. Unasubiri nini sasa kusuka jamvi lako hapa? BUNDESLIGA kule Ujerumani kumalizika leo ambapo RB Leipzig ataumana dhidi ya VFB Stuttgart ambapo tofauti yao ni pointi 4 pekee. Mara ya mwisho kukutana RB alipigika hivyo leo…