SIMBA SC KUCHEZA FAINALI KESHO KMC COMPLEX

BENCHI la ufundi la Simba SC limebainisha kuwa litacheza mchezo wao dhidi ya Pamba Jiji Uwanja wa KMC Complex kama fainali ili kuvuna pointi tatu. Kwenye msimamo ni nafasi ya pili ikiwa na pointi 63 baada ya mechi 24 inatarajiwa kuwakaribisha Pamba Jiji inayonolewa na Kocha Mkuu, Fred Felix Mei 8 2025 kwenye msako wa…

Read More

PAMBA JIJI KAMILI KUIKABILI SIMBA SC

Fred Felix Kocha Mkuu wa Pamba Jiji ameweka wazi kuwa wanatambua ugumu wa mchezo wao dhidi ya Simba SC ila wana imani kuwa hawatashuka daraja. Ni mechi 26 imeshuka uwanjani Pamba Jiji ina pointi 27 ikiwa nafasi ya 13 katika msimamo ambayo ni nafasi yakucheza play off ikiwa itasalia hapo mpaka mzunguko wa pili ukigota…

Read More

HII HAPA RATIBA LIGI KUU BARA MEI 2025

LIGI Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora inaendelea ambapo kuna vigogo vinatarajiwa kupigwa uwanjani ndani ya Mei kwa wababe kuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu. Simba SC itakuwa uwanjani Mei 8 2025 kusaka pointi tatu dhidi ya Pamba Jiji mchezo unoatarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex. KMC vs Simba SC, Mei 11…

Read More

VIDEO: BOSI SIMBA AMTAJA CLATOUS CHAMA/ JOSHUA MUTALE

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC ameweka wazi kuwa kiungo Joshua Mutale ambaye alicheza kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania amerejea kwenye ubora ambao alikuwa nao muda mrefu lakini ulikuwa unakosekana. Kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa Mei 5 2025 alikuwa kwenye kiwango bora jambo lililochangia timu hiyo kupata…

Read More

KIUNGO MGUMU AREJEA KIKOSI YANGA

 KHALID Aucho kiungo wa Yanga amerejea uwanja wa mazoezi baada ya kuwa nje kwa muda alipopata maumivu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Ilikuwa ni Aprili 7 2025 Aucho aliumia alishindwa kukomba dakika 90 aliishia dakika ya 45 ambapo nafasi yake ilichukuliwa na kiungo Mudathir Yahya. Kwenye mchezo huo…

Read More

SIMBA SC KAMILI KWA KARIAKOO DABI

UONGOZI wa Simba SC umeweka wazi kuwa upo tayari kwa mchezo wa Kariakoo Dabi ambao unatarajiwa kuchezwa Juni 15 2025. Awali mchezo huo ulipangwa kuchezwa Machi 8 2025 ukayeyuka baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TBLB) kubainisha kuwa mchezo huo namba 184 umeahirishwa na utapagiwa tarehe nyingine. Yanga SC ilibainisha kuwa mchezo huo…

Read More

JOB KUONGEZEWA MKATABA YANGA SC

DICKSON Job beki chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miloud Hamdi anatajwa kuwa ameitwa mezani ili kujadili suala la kuongeza mkataba wake mpya. Beki huyo amekuwa kwenye ubora wake kwenye mechi ambazo anacheza jambo ambalo linaongeza thamani yake kuzidi kupanda. Taarifa zinaeleza kuwa mara baada ya Muungano Cup 2025 kugota mwisho na Yanga SC kutwaa…

Read More

NGOMA AFICHUA SIRI YA BAO LA USHINDI

FABRINCE Ngoma kiungo mshambuliaji wa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids amesema kuwa siri ya kufunga bao la ushindi dhidi ya JKT Tanzania ni kutimiza majukumu ya timu kwenye msako wa pointi tatu. Mei 2 2025 Simba ilikuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Mashujaa FC ambapo walipata ushindi wa mabao 2-1 na…

Read More

YANGA SC YAIGOMEA KARIAKOO DABI MAZIMA

YANGA SC wamebainisha kuwa msimamo wao kuhusu mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba SC uliotarajiwa kuchezwa Machi 8 2025 upo palepale. Yanga imebainisha kuwa msimamo wao upo palepale kuhusu mchezo huo licha ya CAS kutoa majibu ya kesi yao kuhusu kesi ya mchezo huo. Taarifa iliyotolewa na Yanga SC Mei 5 2025 imeeleza namna…

Read More

PACOME AITWA NA MABOSI YANGA SC

NYOTA wa Yanga SC Pacome Zouzoua inaelezwa kuwa ameitwa na mabosi wa timu hiyo ili kujadili kuhusu kuongeza mkataba kuendelea kusalia ndani ya timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi. Pacome ni chaguo la kwanza la Hamdi ambapo kwenye msimu wa 2024/25 kacheza jumla ya mechi 23 Pacome kahusika kwenye mabao 18 akiwa kafunga…

Read More