>

JINA LA AUSSEMS LATAJWA NAMUNGO

IMEELEZWA kuwa benchi la ufundi la Namungo FC litafumuliwa hivi karibuni ili kuweza kupata kocha mpya kwenye kikosi hicho. Habari kutoka ndani ya Klabu ya Namungo zinasema kuwa viongozi wameanza kufanya mazungumzo na aliyekuwa kocha wa Simba na sasa anaifundisha AFC Leopards ya Kenya, Patrick Aussems kuona namna gani watampata. Inatajwa kuwa Namungo tayari wamemtumia…

Read More

ISHU YA JOB KUROGWA YANGA IPO HIVI

KATI ya mkoa ambao umebarikiwa vipaji vya soka basi ni Morogoro uliozalisha vipaji vingi katika Ligi Kuu Bara ndani ya misimu mitano mfululizo. Kati ya wachezaji waliozalishwa na kuwa gumzo kwa misimu ya karibuni ni Kibwana Shomari, Dickson Job, Mzamiru Yassin, Shiza Kichuya, Hassani Kessy, Aishi Manula na wengine wengi. Kati ya hao, wachezaji ambao…

Read More

WAAMUZI HAWA MAAMUZI YAO NI PASUA KICHWA

WAAMUZI wengi Bongo wamekuwa pasua kichwa hasa pale wanapopewa jukumu la kusimamia sheria 17 kwenye mechi zinazowahusu Simba na Yanga kutokana na rekodi zao kuwa na utata. Asilimia kubwa waamuzi hao wameonekana kushindwa kwenda na kasi ya mchezo ama kufanya vizuri mwanzo ila ikifika mwisho wanaboronga mazima kwa mujibu wa rekodi. Kwa mujibu wa Mwenyekiti…

Read More

MKATABA WA SALAH KLOPP ANENA

JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool ameweka wazi kuwa suala la mkataba wa mshambuliaji wake nyota Mohamed Salah raia wa Misri linahitaji muda. Kwa sasa kumekuwa na mvutano mkubwa kuhusu mkataba wa Salah ambaye amebakisha miezi 19 huku akitaka dau nono na mabosi hao wamekuwa wakionekana kuzingua kwa muda. Nyota huyo hivi karibuni akiwa nchini…

Read More

YANGA, AZAM ZAINGILIA USAJILI WA SIMBA

  WAKATI Simba SC ikitajwa kuwa karibu zaidi kuipata saini ya mshambuliaji wa Zanaco FC, Moses Phiri, imeelezwa kuwa Yanga na Azam zimeingilia dili hilo. Mshambuliaji huyo ambaye aliwatesa Yanga katika mchezo wa kirafiki katika kilele cha Wiki ya Mwananchi, ameonekana kuwa lulu kwa timu mbalimbali hapa nchini.   Hivi karibuni, ilielezwa kwamba, Phiri usajili…

Read More

AZAM YAZITAKA POINTI TATU ZA KAGERA SUGAR

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa kwa sasa hesabu zao kubwa ni kuelekea katika mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar. Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina inatarajiwa kumenyana na Kagera Sugar, Desemba 12. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku na utakuwa mubashara Azam…

Read More

SIMBA YAIVUTIA KASI YANGA ZAMBIA

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao unatarajiwa kuwakutanisha mabingwa watetezi  Simba pamoja na Yanga, Desemba 11, mbinu za Pablo Franco zimeanza kutumika nchini Zambia. Simba ilikuwa huko kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho uliochezwa Jumapili ya Desemba 5 na baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Heroes ulisoma Red Arrows…

Read More

KIBOKO YA JOHN BOCCO YUPO TAYARI YANGA

DICKSON Job, beki wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi yupo kamili gado kwa ajili ya kuwavaa Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Desemba 11, Uwanja wa Mkapa. Job anakumbukwa na mshambuliaji bora wa msimu wa 2020/21 John Bocco aliyefunga mabao 16 kwa namna alivyoweza kumdhibiti…

Read More

MBEYA CITY YAICHAPA DODOMA JIJI 2-0

MBEYA City leo imeichapa mabao 2-0 Dodoma Jiji kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Ni mabao ya Hussein Masalanga dakika ya 42 liliweza kuwafanya Dodoma Jiji kuduwaa kwa muda wakiwa hawajaweza kufunga bao la kuweka mzani sawa. Dakika 45 za kipindi cha pili huko mambo yalizidi kuwa magumu kwa Dodoma…

Read More

DUH!KUMBE KUNA TIMU IMEFUNGWA NA YANGA MABAO 800

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapinzani wao,(Simba) ni timu pekee ambayo imefungwa mabao mengi na Yanga jambo ambalo haliwapi presha kuelekea mchezo wao. Desemba 11, Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco. Manara ameliambia Championi Jumatatu kuwa ukitafuta timu ambayo imefungwa mabao…

Read More

WACHEZAJI HAWA NI MWENDO WA NGUVU KUBWA UWANJANI

MALENGO yanahitaji nguvu kuyafikia lakini ni lazima na akili pia itumike kwani ikiwa itatumika nguvu nyingi hasara huwa ni kubwa kuliko faida. Kwa sasa Ligi Kuu Bara baada ya kuanza kuridima tumeanza kushuhudia vitendo vya matumizi ya nguvu nyingi uwanjani jambo ambalo limekuwa likiwafanya wachezaji wengine kushindwa kuendelea na majukumu yao. Haina maana kwamba nguvu…

Read More