
PABLO ATUMA UJUMBE HUU KWA PAMBA
PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo wa hatua ya robo fainali dhidi ya Pamba. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, saa 1:00 usiku na mshindi wa mchezo anakwenda kukutana na Yanga hatua ya nusu fainali. Pablo amesema kuwa kuna ushindani mkubwa ambao upo kwenye Kombe…