SIMBA YALIPIGIA HESABU KOMBE LA YANGA
OFISA Habari wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally, kuelekea fainali ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Azam FC. inayotarajiwa kupigwa Kesho Januari 13 Uwanja wa Amaan lengo lao namba moja ni kuweza kusepa na kombe hilo ambalo lilikuwa mikononi mwa Yanga. Ni Yanga walikuwa wanatetea Kombe la Mapinduzi walitolewa na Azam FC kwenye mchezo wa…