KIKOSI CHA AZAM FC KITAKACHOANZA DHIDI YA SIMBA
Kikosi cha Azam FC kitakachoanza leo dhidi ya Simba,mchezo wa fainali ya Kombe la Mapinduzi
Kikosi cha Azam FC kitakachoanza leo dhidi ya Simba,mchezo wa fainali ya Kombe la Mapinduzi
KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Azam FC mchezo wa Fainali Kombe la Mapinduzi
MADOA MADOA yote yaliyojificha yatajulikana leo kutokana na balaa ambalo linakwenda kufanywa na nyota hawa ambao wanapewa nafasi ya kukinukisha katika fainali ya Kombe la Mapinduzi. Hapa Spoti Xtra linakuletea nyota wa Simba na Azam FC ambao wanatarajiwa kusaka mbabe atakayesepa na taji hilokatika fainali itakayochezwa kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar. SIMBA SCAishi ManulaNi kipa…
MOHAMED Salah amesema hatma yake ndani ya Liverpool iko mikononi mwaka bodi ya klabu hiyo, ila yeye anapenda kuendelea kubaki Anfield. Ishu ya Salah kusaini mkataba mpya ndani ya Liverpool imekuwa ikizungumzwa tangu mwaka jana lakini hakuna muafaka uliofikiwa mpaka sasa. Salah anatarajiwa kumaliza mkataba wake ndani ya miezi 18 ijayo katika klabu hiyo na…
KUFUATIA mwenendo mzuri wa usajili waunaofanywaDTB, mwenyekiti wa klabu hiyo, Ibrahim Mirambo amejigambakuwa, wamepania zaidi kuhakikisha wanamsajilimchezaji yeyote hata awe chaguo la Simba au Yanga. DTB ndiyo vinara wa Championship ambapo hadi sasa wanaongoza msimamo wa ligi hiyo wakiwa na pointi 36,walizozivuna kwenye michezo 14. Akizungumza na Spoti Xtra, Mirambo ameweka wazi kuwa:“Bado tunafanya usajili,…
ZIKIWA zimebaki siku mbili kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa, KMC FC kupitia ofisa habari wake, ChristinaMwagala wameweka wazi mchakato wao wa usajili. Dirisha dogo la usajili lilifunguliwa Desemba 16, 2021 kwa kushirikisha timu za Ligi Kuu Bara, Championship, First League na Ligi Kuu ya Wanawake na kutarajiwa kufungwa Januari 15, 2022. Akizungumza na…
KUELEKEA mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union utakaochezwa Jumapili hii kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga, Kikosi cha Yanga kimerejea kambini jana Jumatano ambapo uongozi umefunguka kuwa utaenda kucheza mchezo huo wakiwa na kikosi kamili ili kujihakikishia ubingwa. Yanga ilirejea Dar juzi Jumanne ikitokea Zanzibar baada ya kutolewa hatua ya nusu fainali ya…
UONGOZI wa Simba SC, umepanga kumtambulisha Clatous Chama siku ya mwisho kabla ya usajili wa dirisha dogo haujafungwa Januari 15, mwaka huu. Chama ambaye aliitumikia Simba kwa misimu mitatu, aliondoka kikosini hapo mwishoni mwa msimu wa2020/21 na kutimkia RS Berkane ya Morocco. Kwa muda mrefu, kumekuwa na tetesi za Simba kuhitaji kumrudisha kundini kiungo huyo…
USIKU wa leo Alhamisi saa 2:15 usiku, Uwanja wa Aman uliopo hapa Unguja, Zanzibar, utashuhudiwa mchezo mmoja wa fainali ya Kombe la Mapinduzi kati ya Simba dhidi ya Azam. Simba wametinga fainali baada ya kuwatoa Namungo kwa kuwafunga mabao 2-0, huku Azam wakiwafunga Yanga kwa penalti 9-8 baada ya mechi kwenda dakika 90…
BARBARA Gonzalez, Mtendaji Mkuu wa Simba ameweka wazi kwamba wanahitaji kutwaa Kombe la Mapinduzi hivyo watapambana ili kufikia malengo hayo. Leo Januari 13, Uwanja wa Amaan, saa 2:15 inatarajiwa kuchezwa fainali kati ya Azam FC V Simba na mshindi wa mchezo huo atasepa na Kombe la Mapinudiz kwa mwaka 2022. Barbara amesema kuwa wanatambua ubora…
ZAKARIA Thabit, Ofisa Habari wa Azam FC a,ewela wazi kuwa baada ya kuifunga Yanga sasa wanaamini kwamba watafunga mpaka shule hadi Ramadhan. Kwenye mchezo wa nusu fainali uliochezwa Uwanja wa Amman, Azam FC iliwaondoa Yanga ambao walikuwa ni mabingwa watetezi kwa penalti 9-8 baada ya dakika 90 kutoshana nguvu bila kufungana. Sasa leo Januari 13,…
NYOTA Ismail Mhesa rasmi ametambulishwa ndani ya Mtibwa Sugar kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara. Januari 12,2022 alitambulishwa katika kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Salum Mayanga ambaye alikuwa akikinoa kikosi cha Tanzania Prisons. Mhesa alikuwa ndani ya Mtibwa Sugar msimu wa 2020/21 lakini msimi wa 2021/22 hakuanza maisha ya soka…
IMEELEZWA kuwa Clatous Chama na Simba tayari wamemalizana kila kitu kuhusu usajili wake na kilichobaki ni kutambulishwa. Chama kwa sasa ni mali ya RS Berkane ambapo aliibuka huko msimu wa 2021/22 akitokea Klabu ya Simba. Moja ya usajili ambao umekuwa na mvutano mkubwa ni wa Chama kwa kuwa wakati Simba wakipambana kuinasa saini yake na…
MOHAMED Salah mshambuliaji namba moja kwa kucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu England akiwa ametupia mabao 16 amesema kuwa hatma yake kubaki ndani ya kikosi cha Liverpool ipo mikononi mwa bodi ya klabu hiyo. Suala la Salah kusaini mkataba mpya ndani ya Liverpool limekuwa likizungumzwa tangu mwaka jana 2021 ila mpaka sasa hakuna muafaka…
MWAMUZI kutoka nchini, Zambia Janny Sikazwe amezua gumzo kwenye michuano ya AFCON inayoendelea kutimua vumbi huko Cameroon wakati wa mchezo wa kundi F kati ya Tunisia na Mali uliomalizika kwa Mali kuibuka na ushindi wa 1-0. Maamuzi ya utata yaliyotolewa na refa huyo katika mchezo huo yamezua mijadala mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii na kuzua…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamisi
BAADA ya kufanikiwa kuibuka na ushindi wa penalti 9-8 dhidi ya Yanga katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi, uongozi wa Azam umetamba kuwa utaibuka na ushindi kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Simba na kuandika rekodi mpya kwenye michuano hiyo. Hii inakuwa ni mara ya sita Azam kucheza fainali ya Kombe la Mapinduzi ambapo wamekuwa na rekodi nzuri katika michuano hii, wakifanikiwa kushinda fainali tano zilizopita. Kwenye historia ya michuano hiyo Azam na Simba zimefanikiwa kukutana katika fainali tatu…