MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa ukurasa wa nyuma gazeti la Championi Ijumaa
MUONEKANO wa ukurasa wa nyuma gazeti la Championi Ijumaa
YANGA:Leteni yeyote tunapiga, Simba yamoto nje ndani ni ndani ya Championi Ijumaa
BAADA ya hivi karibuni taarifa kusambaa kwenye mitandao ya kijamii juu ya Fifa kuangalia uwezekano wa kuongeza dakika za mchezo wa mpira wa miguu kutoka 90 hadi 100 kabla ya mashindano ya Fainali za Kombe la Dunia la nchini Qatar, FIFA imeibuka na kukanusha taarifa hizo. Taarifa kutoka fifa imesema:“Kufuatia taarifa za uzushi zilizosambaa leo,…
WAKIWA Uwanja wa Mkwakwani, Tanga leo mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara,Simba wameshinda mabao 2-1 dhidi ya Coastal Union wakipata ushindi usiku kabisa kabla mchezo kukamilika. Dakika 45 za mwanzo Simba iliweza kucheza kwa utulivu na kutengeneza nafasi nne za wazi lakini hazikuweza kuleta matunda kwao. Ni bao la Bernard Morrison dk 40 na lilisawazishwa…
Mapumziko, Uwanja wa Mkwakwani Tanga, Coastal Union 0-1 Simba. Bao la kuongoza kwa Simba limepachikwa na kiungo Bernard Morrison dk ya 40 baada ya beki wa Coastal Union kufanya makosa katika kupiga pasi kwenda mbele. Coastal Union chini ya Kocha Mkuu Juma Mgunda imeweza kuotea mara mbili na wamepiga mashuti matatu ambayo yamelenga lango. Simba…
WAKATI kukiwa na ongezeko la bei ya mafuta katika nchi nyingi Tanzania ikiwamo, huenda mitandao ya usafirishaji kama Uber, Bolt, Taxify na mingine, ikawa mkombozi zaidi kwa watumiaji wa teksi, bajaji na pikipiki maarufu (bodaboda) mijini. Hii ni kwa kuwa tangu sekta hii ianze kutoa huduma zake katika miaka ya hivi karibuni, licha ya…
NI kama ameanza kujishtukia vile. Thibaut Courtois anatarajiwa kurudi kwenye uwanja wake wa zamani wa Stamford Bridge leo Jumatano katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, na kipa huyo Mbelgiji wa Real Madrid amesema: “Natumaini kwamba (mashabiki Chelsea) hawatanizomea.” Real Madrid itatarajia kulipiza kisasi cha kufungwa katika nusu fainali ya michuano hiyo…
PAMBANO la bondia Dillian Whyte na Tyson Fury limekufa rasmi, Whyte hatocheza tena pambano lake la ubingwa wa dunia uzito wa juu dhidi ya Fury Aprili 23, mwaka huu, baada ya kupata jeraha la bega wakati akijiandaa na pambano hilo. Mapromota wa pambano hilo, Frank Warren na Bob Arum, wamethibitisha kuwa, Fury ambaye ni bingwa…
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba leo Aprili 7 anatarajiwa kukiongoza kikosi hicho kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Coastal Union. Pablo amesema kuwa anadhani ni moja ya mchezo utakaokuwa na ushindani mkubwa kutokana na timu zote kuhitaji kupata pointi tatu muhimu. ”Ninajua kwamba kila mmoja anahitaji kuona kwamba namna gani tunaweza kupata ushindi kwani…
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wameituliza kwa mara nyingine tena Azam FC baada ya kuwatungua mabao 2-1 kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Azam FC ni wao walianza kupata bao la kuongoza kupitia kwa Rodgers Kola ilikuwa dk ya 10 liliwekwa usawa na Djuma Shaban kwa mkwaju wa penalti dk…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamisi
UWANJA wa Azam Complex, dakika 90 za zimekamilika na Yanga inasepa na pointi tatu muhimu ikiwa ugenini. Vinara hao wa ligi wanafikisha pointi 51 wamepindua meza kibabe baada ya kuanza wakiwa wanadaiwa bao moja kisha wakalipa na kuogeza bao lingine la ushindi. Azam FC wanapaswa wajiliamumu wenyewe kwa kuwa walikosa nafasi za wazi tatu za…
KIKOSI cha Yanga kinachotarajiwa kuanza leo Aprili 6 Uwanja wa Azam Complex dhidi ya Azam FC. Ngoma inapigwa saa 2:15, tayari kikosi cha Yanga kimewasili Uwanja wa Azam Complex na wachezaji walipita mlango ule wa mashabiki
WASHINDI watatu Shaaban Mwita wa Mgusu (Geita), Abdalla Said Ali wa Tandahimba (Mtwara) na David Jonas wa Magu (Mwanza), leo asubuhi wameibuka washindi wa vitita vya shilingi milioni moja moja kila mmoja katika droo ya nne ya wiki ya Bet Bonanza ya SportPesa. Droo hii ni sehemu ya promosheni ya Bet Bonanza ya SportPesa, na…
MFUMO ni uleule wa kusaka ushindi kwa timu zitakazoshuka uwanjani na hii ya leo ni Dabi ya Dar es Salaam itakayopigwa Uwanja wa Azam Complex saa 2:15 usiku. Unaambiwa acha inyeshe tuone panapovuja baada ya dakika 90 itafahamika nani ni nani kati ya Azam FC v Yanga. Timu zote zina wakali wa kucheka na nyavu…