MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
YANGA inatinga hatua ya nusu fainali baada ya ushindi wa penalti 7-6 mbele ya Geita Gold. Dakika 90 zilikamilika kwa timu zote kufungana bao 1-1 katika mchezo wa robo fainali Kombe la Shirikisho. Katika mchezo wa leo,Kocha Mkuu Nasreddine Nabi ameonyeshwa kadi nyekundu na mwamuzi wa kati baada ya kupuliza kipyenga cha mwisho. Sasa Yanga…
DAKIKA 45 za burudani safi kabisa kutoka kwa timu zilizofanya maandalizi mazuri kutimiza kile ambacho wamepewa na benchi la ufundi. Ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 0-0 Geita Gold ikiwa ni mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya robo fainali. Timu zote zinapambana kusaka ushindi huku umakini ukiwa ni tatizo kwenye kumalizia nafasi. Zawadi…
UWANJA wa Ushirika Moshi,milango kwa timu zote mbili ilikuwa migumu mwanzo mpaka mwisho wa mchezo na kufanya timu zote zigawane pointi mojamoja. Ubao umesoma Polisi Tanzania 0-0 Simba ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa 19 msimu wa 2021/22. Mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara sasa wanafikisha pointi 41 wakiwa wameachwa kwa jumla ya pointi…
Simba sc na Cape Town City, zimefikia Makubaliano ya kuuziana Beki wa Kati raia wa DRC Congo Nathan Idumba Fasika, Uhamisho wa Nyota huyo unakadiliwa kukamilika mwishoni mwa msimu ili kumpa nafasi Idumba amalize kuitumikia Cape Town City kwa Msimu huu. kinachoendelea sasa ni Makubaliano binafsi na Beki huyo juu ya Mshahara wake na Simba…
NDANI ya Ligi Kuu England Manchester City ni baba lao kwa kukusanya pointi nyingi tangu msimu wa 2018/19 mpaka msimu huu wa 2021/22. Ni pointi 338 wamekusanya huku wanaowafuata wakiwa ni Liverpool ambao wana jumla ya pointi 337 na Chelsea ni namba tatu wakiwa na pointi 264 Manchester United ni namba nne wana pointi 257….
MENEJA wa Simba Queens inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake ya Serengeti Lite (SWPL), Selemani Makanya, amesema wachezaji wamejiandaa vema kuikabili Ruvuma Queens katika mchezo wa ligi hiyo utakaochezwa leo Jumapili kwenye Uwanja wa Majimaji, Songea. Akizungumza na Spoti Xtra, Makanya alisema: “Tunamshukuru Mungu tumefika salama, tumejiandaa vya kutosha kwa ajili ya mchezo huu, hakuna…
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ ameishukuru Benki ya NBC kwa kutoa motisha kwa wachezaji, huku akiamini hiyo inasaidia kujituma zaidi uwanjani. Saido aliyasema hayo baada ya hivi karibuni kupokea tuzo yake ya Mchezaji Bora wa mwezi Februari wa Ligi Kuu Bara msimu huu sambamba na shilingi milioni moja kutoka kwa wadhamini wa…
MABAO kutoka kwa Leandro Trossard dk 28 na Enock Mwepu dk 66 yaliweza kutosha kuipa pointi tatu Brighton mbele ya Arsenal. Ni bao la Martin Odegaard dk 89 Uwanja wa Emirates lilitosha kuwafuta machozi washika bunduki hao wanaonolewa na Kocha Mkuu, Mikel Arteta. Arteta amesema kuwa walikuwa wana kila kitu cha kuweza kushinda lakini haikuwa…
UONGOZI wa Yanga SC, umefunguka kuwa, unayahitaji makombe yote wanayoshiriki msimu huu ambayo ni Ligi Kuu Bara pamoja na Kombe la Shirikiso la Azam Sports (ASFC). Leo Jumapili, Yanga wanatarajiwa kukipiga dhidi ya Geita katika mchezo wa robo fainali ya ASFC, unaotarajiwa kufanyika Uwanja wa Mkapa, Dar. Akizugumza na Spoti Xtra, Mjumbe wa Kamati ya…
LEO ni mwendo wa msako wa rekodi nyingine kwa nyota wawili ambao ni vinara wa utupiaji kwenye timu zao kati ya Vitalisi Mayanga wa Polisi Tanzania na Meddie Kagere wa Simba. Mayanga ni nyota wa kwanza kusepa na tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Septemba huku Kagere akiwa hajasepa na tuzo kwa msimu huu kati…
UWANJA wa Mkapa leo Aprili 10 unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Kombe la Shirikisho kati ya Yanga dhidi ya Geita Gold. Huu ni mchezo wa hatua ya robo fainali na mshindi anatinga hatua ya nusu fainali ili kuweza kusaka timu itakayotinga hatua ya fainali. Bingwa mtetezi ni Simba akiwa naye yupo kwenye hatua ya robo fainali…
SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba, amesema wanayafanyia kazi makosa ya wachezaji wao ikiwa ni pamoja na tatizo la umaliziaji wa nafasi wanazozipata. Wakati Simba ikishinda 1-2 dhidi ya Coastal Union Alhamisi wiki hii, wachezaji wa timu hiyo walikosa nafasi 10 za kufunga akiwemo Chris Mugalu, Meddie Kagere, Bernard Morrison na Clatous Chama. Mabingwa hao…
MOHAMED Salah, mshambuliaji wa Liverpool ameweka wazi kuwa ishu ya mkataba wake kwa sasa ndani ya kikosi hicho hawezi kusema ndiyo ama hapana. Salah mkataba wake ndani ya Liverpool unatarajiwa kumalizika Juni 2023.Mpaka sasa haijaweza kuwekwa wazi kuhusu makualiano yake na timu hiyo. Salah alipoulizwa kuhusu mkataba wake amesema:”Niwe mkweli,kuna vitu vingi watu hawavijui sitaki…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa mchezo wa kesho dhidi ya Polisi Tanzania utakuwa mgumu na ushindani mkubwa. April 10,saa 10:00 jioni Simba itakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Polisi Tanzania. Leo wachezaji wa Simba wamefanya mazoezi ya mwisho ikiwa ni pamoja na Aishi Manula, Joash Onyango, Sadio Kanoute, Rally…