SIMBA YATAMBA KUTINGA HATUA YA NUSU FAINALI

UONGOZI wa kikosi cha Simba, umetamba kuwa walikuwa tayari wamejiandaa kukutana na mpinzani yeyote kwenye Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika na wanaamini wana uwezo wa kuwaondoa Orlando Pirates ya Afrika Kusini na kutinga nusu fainali ya michuano hiyo. Katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika Simba wamefuzu hatua ya robo fainali baada ya…

Read More

UBINGWA YANGA MWANGA 85 ASILIMIA

BAADA ya ushindi wa mabao 2-1 ambao Yanga wameupata dhidi ya Azam FC Aprili 6, sasa kocha wa timu hiyo, Nassredine Nabi, anaamini wana asilimia 85 za kutwaa ubingwa msimu huu wa 2021/22. Lakini amewasisitiza wachezaji wake waendelee kupambana ili kuhakikisha wanakamilisha asilimia zote za ubingwa msimu huu. Yanga katika mchezo wa mzunguko wa pili…

Read More

MORRISON NA SAKHO WAWATISHA WASAUZI

UONGOZI wa Orlando Pirates, umewataja wachezaji kama Bernard Morrison na Pape Ousmane Sakho kuwa ni wachezaji wa kuchungwa katika mchezo wao kutokana na ubora wao waliouonyesha katika mchezo uliopita ambapo Simba waliibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya USGN ya nchini Niger. Orlando Pirates ambao wamepangwa kucheza na Simba katika hatua ya robo fainali…

Read More

DJUMA APEWA KAZI NYINGINE YA MAYELE NA NTIBANZOKIZA

BEKI mkongwe wa Yanga, Mkongomani, Shaaban Djuma, amepewa majukumu mapya ya kupiga penalti zote itakazozipata timu hiyo inayowaniwa ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Aprili 6,2022 Djuma alipiga penalti na kufunga bao la kwanza dhidi ya Azam katika ushindi wa 2-1, Chamazi. Hiyo ni penalti ya pili kwa beki huyo kuipiga katika msimu huu tangu ajiunge…

Read More

SIMBA KUWA TIMU YA KWANZA KUTUMIA VAR BONGO

WAWAKILISHI wa Tanzania Simba kwenye mashindano ya kimataifa wanakwenda kuandika rekodi ya kuwa timu ya kwanza kutumia mfumo wa msaada wa VAR kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam. Tokea VAR ianze kutumika katika mchezo wa soka duniani, haijawahi kutumika kwenye Uwanja wowote nchini na Simba iliyofikia hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho…

Read More

MBEYA KWANZA SIYO YA KWANZA KWA SASA

MBEYA Kwanza yenye maskani yake Mbeya kwa sasa sio ya kwanza kwa timu ambazo zina maskani yake kwenye mkoa huo wenye madhari ya kijani. Kwa sasa kwenye msimamo inaburuza mkia ikiwa imekusanya pointi 14 baada ya kucheza mechi 19. Safu ya ushambuliaji ya Mbeya Kwanza imetupia mabao 14 ikiwa imeshinda mechi 2 pekee za ligi….

Read More

YANGA YAPANIA KUSEPA NA UBINGWA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa mpango kazi wao namba moja ni kuweza kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara ulio mikononi mwa Simba. Kwenye msimamo, Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Nasreddine Nabi ni namba moja ikiwa na pointi 51 baada ya kucheza mechi 19 ndani ya Ligi Kuu Bara. Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari…

Read More

CHILUNDA NJE YA UWANJA WIKI NNE

NYOTA wa Klabu ya Azam FC, Shaaban Iddi Chilunda anatarajiwa kuwa nje ya uwanja kwa wiki nne baada ya kupata majeraha ya goti wakati timu hiyo ilipokuwa inajiandaa kucheza na Klabu ya DTB mchezo wa kirafiki. Chilunda aliongozana na Daktari wa Timu Dkt Mwanandi Mwankemwa na kuibukia Cape Town, Afrika ya Kusini kwa ajili ya…

Read More

KUMALIZA TOP 4 KWA TOTTENHAM KUNAMTEGEMEA KANE

PAUL Merson kiungo wa zamani wa Arsenal amesema kuwa wapinzani wake wa zamani Tottenham Hotspur wana nafasi ya kumaliza ndani ya Top 4 kwenye msimamo wa Ligi Kuu England. Nyota huyo ameweka wazi kuwa ikiwa mshambuliaji wa timu hiyo Harry Kane akiumia mambo yatakuwa ni magumu zaidi kwao. Ikumbukwe kwamba hata Arsenal inawania nafasi ya…

Read More

KAMPUNI YA MERIDIANBET TANZANIA YATOAMKONO WA POLE

Ni desturi ya kampuni ya Meridianbet kurudisha kwa jamii inayoizunguka. Katika kuendeleza utamaduni huu, Meridianbet inaungana na familia ya Bi. Zainabu Mohamed ambaye anasumbuliwa na tatizo la kansa.   Bi. Zainabu ambaye ni mkazi wa Buza, Dar es Salaam, amekuwa akisumbuliwa na kansa kwa takribani miaka 2 tatizo ambalo linamfanya ashindwe kukaa au kusimama na…

Read More