PABLO ATWAA TUZO KWA MARA YA KWANZA

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba ametwaa tuzo ya Kocha Bora ndani ya Ligi Kuu kwa mara ya kwanza baada ya kupewa dili na Simba akichukua mikoba ya Didier Gomes. Kwa mujibu wa Kikao cha Kamati ya Tuzo ya Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) kilichokaa hivi karibuni kimetoa mapendekezo ya jina la Pablo wa Simba. Ametwaa…

Read More

MUGALU,BERNARD MORRISON KIMATAIFA NI HABARI NYINGINE

NYOTA wawili wa Simba, Bernard Morrison na Chris Mugalu kwenye mashindano ya kimataifa ni habari nyingine kwa kuwa wameweza kufanya maajabu kwenye mechi ngumu kwa kushirikiana na wachezaji wengine.  Morrison kwenye mashindano ya kimataifa kuanzia hatua ya mtoano ametumia dk 290 katupia mabao matatu na pasi mbili za mabao. Chris Mugalu yeye amecheza mechi tatu…

Read More

BOSI YANGA AWEKA WAZI KUWA MAYELE ATAFUNGA SANA

SENZO Mbatha, Mtendaji Mkuu Klabu ya Yanga ameweka wazi kuwa Fiston Mayele atafunga mabao mengi msimu huu. Mayele ni mshambuliaji namba moja ndani ya kikosi hicho akiwa ametupia mabao 10 na pasi tatu za mabao. Kiongozi huyo amesema kuwa kutokana na kasi ya Mayele pamoja na mechi ambazo zipo mbele atafunga zaidi ya mabao aliyonayo…

Read More

HIZI HAPA KUKIWASHA LEO LIGI KUU ARA

NI Aprili 6 Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea ambapo mechi mbili zinatarajiwa kuchezwa kwenye viwanja viwili tofauti kwa timu kusaka pointi tatu muhimu. Uwanja wa Karume, Mara unatarajiwa kuchezwa mchezo kati ya Biashara United v Mbeya Kwanza ya kutoka Mbeya. Biashara United imekusanya pointi 19 inakutana na Mbeya Kwanza yenye pointi 14 zote zimecheza…

Read More

SIMBA:WAPINZANI WANA WASIWASI KUPANGWA NASI KIMATAIFA

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wapinzani wao kimataifa katika hatua ya robo fainali ambao ni Orlando Pirates wana wasiwasi kutokana na kupangwa na timu bora. Jana Aprili 5 nchini Misri ni droo ya mechi za kimataifa ambapo Simba imepangwa kucheza na Orlando Pirates ya Afrika Kusini. Simba iliweza kutinga hatua ya robo…

Read More

MANCHESTER CITY YAIBAMIZA ATLETICO MADRID

WAKIWA Uwanja wa City of Manchester waliweza kupata ushindi wa bao 1-0 Atletico Madrid ikiwa ni mchezo wa UEFA Champions League. Huu ni mchezo wa kwanza robo fainali na mtupiaji alikuwa ni Kevin De Bruyne ilikuwa dk ya 70. City iliweza kuwa imara kila idara mwanzo mwisho katika mchezo huo licha ya Atletico Madrid kupaki…

Read More

KOCHA AZAM FC AKUBALI MUZIKI WA YANGA

KOCHA Mkuu wa Klabu ya Azam Abdi Hamid Moallin amekubali ubora wa kikosi cha Yanga na kuweka wazi kwamba anaandaa mbinu ili kuwakabili vinara wa Ligi Kuu Bara. Moallin amesema kuwa anatambua kwamba wameachwa kwa pointi nyingi na wapinzani hao ambao wanaongoza ligi kwa wakati huu. “Ninatambua kwamba Yanga ni timu imara na inaongoza ligi…

Read More

SIMBA NDANI YA TANGA,MKWAKWANI KUKIWASHA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Simba baada ya kumaliza mchezo wao wa kimataifa dhidi ya USGN kituo kinachofuata ni Aprili 7 dhidi ya Coastal Union. Kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Mkapa Simba ilifanikiwa kuwatoa kimasomaso Watanzania na Afrika Mashariki kiujumla kwa kuweza kutimiza msemo wa ‘Kwa Mkapa Hatoki Mtu’. Mchezo huu wa Alhamisi…

Read More

MOLOKO,NGUSHI WAREJEA KUIVAA AZAM FC

CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa kuna wachezaji ambao wamerudi kwenye kikosi baada ya kuwa nje kwa muda kutokana na kutibu majeraha. Kesho Yanga inatarajiwa kusaka pointi tatu mbele ya Azam FC ambao nao pia waazihitaji pointi hizo. Kaze amesema:”Wapo baadhi ya wachezaji walikuwa nje kutokana na majeruhi lakini kwa sasa wameanza mazoezi…

Read More

MBEYA KWANZA WANA REKODI YAO BONGO

KIKOSI cha Mbeya Kwanza kinashikilia rekodi ya kuwa timu namba moja iliyoshinda mechi chache ndani ya ligi kwa msimu wa 2021/22. Ikiwa imecheza mechi 18 ni mechi mbili pekee imeshinda ambazo ni dakika 180 huku ikiwa imeambulia kichapo kwenye mechi 8. Sare imeambulia kwenye mechi 8 na kibindoni ina pointi 14 ikiwa nafasi ya 16…

Read More